
Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia
Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…