Ubomoaji bila kibali wazua taharuki Kariakoo, miundombinu yahatarishwa
Dar es Salaam. Wakazi na wafanyabiashara wa mitaa ya Swahili na Donge, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, wanaishi kwa hofu kutokana na ubomoaji wa kuta za nyumba na sehemu ya barabara uliofanyika usiku wa kuamkia Desemba 6, 2024, bila makubaliano wala kibali cha mamlaka husika. Tukio hilo, lililofanywa na mmoja wa majirani, limesababisha uharibifu wa…