Admin

TMA YATOA MWELEKEO WA KIMBUNGA CHENGE

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi, Kaskazini Mashariki mwa Kisiwa cha Madagascar. Kimbunga “CHENGE” kimeendelea kusalia baharini na kusogea kuelekea Magharibi, yaani kuelekea pwani ya nchi yetu. Hadi kufikia asubuhi ya leo Kimbunga “CHENGE” kilikuwa katika eneo la Bahari ya Hindi umbali…

Read More

Devotha: Mkafanye uamuzi sahihi Oktoba 29

Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amewataka Watanzania kufanya uamuzi sahihi Oktoba 29, kwa mustakabali maisha yao. Amesema nyakati za ahadi zisizotekelezeka umepitwa na wakati badala yake Watanzania wanahitaji chama kitakachotekeleza kile kinachoahidiwa na si kingine ni Chaumma. Minja ambaye kitaaluma ni mwanahabari ameeleza hayo…

Read More

Chadema Mara waungana na familia kumsaka Heche

Mara. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mara kimeungana na familia ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, John Heche na kutoa wito kwa Jeshi la Polisi kujitokeza hadharani na kutoa taarifa kuhusu alipo kiongozi huyo. Aidha, chama kimewahimiza viongozi wa dini na wanaharakati wa haki za binadamu kupaza sauti kuhusu suala hilo….

Read More

Mahakama yatupa shauri la Polepole

Dar es Salaam.  Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya amri ya kumfikisha mahakamani au kumwachia kwa dhamana (Habeas corpus), Humphrey Polepole, ikieleza hakuna ushahidi kuwa wajibu maombi ndio waliomchukua. Uamuzi huo ulioandikwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salma Maghimbi, aliyesikiliza shauri hilo umesomwa leo Oktoba 24, 2025…

Read More

VIONGOZI WA DINI KANDA YA KUSINI WATAKA ULINZI AMANI, KUJITOKEZA UPIGAJI KURA

 :::::::: Na Mwandishi Wetu, Lindi VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka vijana nchini kuendelea kulinda amani ya Taifa, kuacha kutegemea taarifa za mitandaoni na badala yake kujitokeza kwa wingi kupiga kura kumchagua kiongozi wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Wito huo umetolewa leo Oktoba 24, 2025, katika Kongamano…

Read More

Mawakala 27 wa mgombea udiwani ACT-Wazalendo wakwama kuapishwa

Butiama. Mawakala 27 wa mgombea udiwani wa kata ya Masaba, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara, kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, wamekumbana na kizuizi cha kisheria kuhusiana na kuapishwa. Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi jimbo la Butiama, Charles Kishamuli amesema mawakala hao wameshindwa kuapishwa baada ya kushindwa kukidhi vigezo ikiwa ni pamoja na kutokuwasilisha barua za utambulisho kutoka…

Read More

Samia:Tutalinda Muungano, kukuza uchumi | Mwananchi

Zanzibar. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema  wataulinda Muungano kwa nguvu zote kwani una faida kwa pande zote mbili (Bara na Visiwani) huku akieleza chama hicho kikipewa ridhaa wataendeleza uchumi mkubwa na maendeleo jumuishi. Nyingine ni maendeleo jumuishi yanayomchukua kila Mtanzania na kuwa wataenda kufanya…

Read More