UKATA WA FEDHA NDIO SABABU ILIYOWAFANYA CHADEMA WASISHIRIKI UCHAGUZI MKUU-WENJE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Zanzibar ALIYEKUWA Mjumbe wa Kamati Kuu kwa miaka 15 na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Ziwa Victoria Ezekia Wenje metoboa siri ya Chama hicho kushindwa kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu ni kutokana na kukosa maandalizi pamoja na ukata wa fedha. Wenje ambaye kwa sasa amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametoa…