Picha la Fei Toto linaendea, ala kiapo
AZAM FC tayari ipo Juba, Sudan Kusini kwa ajili ya mechi ya raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wao, El Merrikh Bentiu, huku kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ akila kiapo wamefuata ushindi ili kujiweka pazuri. …