Admin

Dk Mwigulu awaka, aagiza mnyororo usambazaji dawa uchunguzwe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza kufanyika uchunguzi wa haraka katika vituo vya afya vya Wilaya ya Mpimbwe mkoani Katavi, kufuatia kubainika wananchi wengi wanaelekezwa kununua dawa katika maduka ya nje, licha ya taarifa za Serikali kuonyesha dawa za kutosha zinapatikana hospitalini. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara eneo la Kibaoni ambako anaendelea…

Read More

 Tacas yataka bandari iachane na ada mpya

Dar es Salaam. Chama cha Wakala wa Forodha Tanzania (Tacas), kimeiomba Serikali kuachana na mpango wa kutoza ada ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari (PID) na badala yake kutafuta vyanzo vingine mbadala vya mapato. Chama hicho kimetoa ushauri huo ikiwa ni maazimio ya mkutano wa dharura wa kujadili ada hiyo, uliofanyika Machi 13 jijini Dar…

Read More

Marekani kushirikiana na Tanzania kuimarisha ulinzi

Bakari Mahundu March 14, 2026 0 Comments Meja Jenerali Craig Strong, Kiongozi Mkuu wa Walinzi wa Taifa wa Jimbo la Nebraska na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda Serikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa nchi…

Read More

RC Songwe ataka mpango unafuu wa umeme kwa wachimbaji madini

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame amemwagiza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Songwe kundaa na kutekeleza mpango wa muda mfupi, utakaoweza kuleta nafuu ya tatizo la umeme katika Wilaya ya Songwe ikiwemo maeneo yanakochimbwa madini. Makame ametoa maagizo hayo akiwa ziarani wilayani Songwe kukagua hali ya upatikanaji wa umeme…

Read More

Apata kitita cha Sh30 milioni akiibuka kidedea usomaji Quran

Unguja.  Abdulazizi Ali Khamis amepata kitita cha Sh30 milioni baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika Zanzibar. Mashindano hayo yanayofanyika kwa mara ya tatu mfululizo, yamewashirikisha washiriki 11 kutoka mabara sita katika mataifa ya Uingereza, Brazir, Comoro, Tunisia, Australia, Afrika Kusini, Marekani, Nigeria, Tanzania na mwenyeji Zanzibar. Mshindi wa pili kutoka nchini…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachilia huru James Kaliwa aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la mauaji, baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka haukuthibitisha kesi yake bila shaka yoyote. Uamuzi huo uliobatilisha adhabu hiyo umetolewa Machi 9,2026 na  jopo la majaji watatu ambao ni Ferdinand Wambali,Omar Othuman Makungu na Agnes Mgeyekwa. Mahakama hiyo  ilibaini kuwa…

Read More