Biteko afunga kampeni Busanda, amtaka mgombea ubunge kuwa mvumilivu
Mgombea ubunge Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Naibu waziri Mkuu, Doto Biteko amemtaka mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda kuwavumilia wananchi wake na kuwatumikia bila kujali pasipo ubaguzi atakaposhinda ubunge. Biteko ametoa wito huo leo Oktoba 24, 2025 katika Kata ya Bukoli, Jimbo la Busanda mkoani Geita wakati akifunga Kampeni za uchaguzi katika Jimbo…