Lissu akwama hatua ya kwanza pingamizi kesi ya uhaini
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekwama katika hatua ya kwanza ya kujinasua katika kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, kutupilia mbali sababu yake moja ya pingamizi lake. Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini, kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria…