Admin

Opah tumaini jipya Hispania | Mwanaspoti

SD Eibar ya Ligi ya Wanawake Hispania imeboresha eneo la ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu ikimsajili nyota wa Kitanzania, Opah Clement ambaye ana rekodi nzuri Ulaya. Opah kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu uliopita aliichezea FC Juarez ya Mexico lakini hakuwa na msimu mzuri alicheza mechi sita bila kufunga bao wala asisti. Lakini…

Read More

Mngulumi na Deus waungana kusaka kura za CCM Kongwa

Kongwa. Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kongwa, Isaya Mngulumi anafanya kazi na waliokuwa wagombea wenzake ili kutafuta kura. Kitendo hicho kinatajwa kuwa mkakati wa kumaliza makundi ndani ya chama. Hata hivyo, aliyeshika nafasi ya tatu katika kura za awali Deus Seif ameonekana kuwa turufu ya chama hicho ndani ya jimbo akitakiwa…

Read More

Mgaya Ally atimkia Oman | Mwanaspoti

BAADA ya kuitumikia Coastal Union kwa msimu mmoja, straika wa Kitanzania, Mgaya Ally amesema ni muda wa kuendelea kutafuta changamoto sehemu nyingine akitimkia Salalah SC ya Oman  kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo alijiunga na Wagosi wa Kaya wakati wa dirisha dogo la usajili akitokea FleetWoods Falme za Uarabu, UAE alikocheza kwa misimu miwili….

Read More

Dk Tulia aahidi kuanza na vipaumbele 15 Jimbo la Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Jimbo jipya la Uyole kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson, ametaja vipaumbele 15 ambavyo amesema vitabadili taswira ya Uyole ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa halmashauri mpya itakayojitegemea kimapato. Ametoa kauli hiyo jana Jumamosi, Septemba 13, 2025, katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika Shule ya Msingi Hasanga,…

Read More

Tanzania na Algeria kushirikiana katika upatikanaji wa dawa salama, bora na fanisi.

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi  katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria  alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya Tanzania uluoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkr. Adam Fimbo pamoja na Balozi wa Tanzania…

Read More

Wananchi wa Kalila walia zahanati kutokamilika

Rukwa. Wananchi wa Kijiji cha Kalila, Kata ya Kabwe, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho, ambayo imeshindwa kukamilika kwa muda mrefu sasa. Wamesema kutokana na kadhia hiyo, wajawazito hujikuta wakijifungulia njiani au majini wakiwa kwenye mitumbwi wakifuatilia huduma hiyo katika maeneo mengine. Wakizungumza na Mwananchi leo Jumapili,…

Read More

Wananchi Kigoma waeleza matumaini yao kwa mgombea urais wa CCM

Kigoma. Wananchi wa Kigoma wameeleza matumaini yao kwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, wakimtaka atekeleze ahadi alizozitoa kwenye huduma mbalimbali za kijamii. Wananchi hao wameeleza hayo kwa nyakati tofauti leo Sepemba 14, 2025 kwenye mikutano ya kampeni ya mgombea huyo wa urais, ambayo ameifanya…

Read More