Admin

MPINA ATEULIWA NA TUME KUWANIA URAIS 2025

  Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi nakala ya fomu za uteuzi kwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT – WAZALENDO), Mhe. Luhaga Joelson…

Read More

PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More

Msukuma afichua kilichomuondoa Bulaya CCM

Bunda. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Kasheku, maarufu Msukuma amesema majungu ndani ya chama hicho ndiyo yaliyosababisha mgombea ubunge Bunda Mjini, Ester Bulaya kuhamia upinzani. Msukuma ameyasema hayo mjini Bunda leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi za chama hicho jimboni humo, huku akiwataka wakazi wa jimbo hilo kukipigia…

Read More

Samia kuifanya Kigoma kitovu cha biashara na nchi jirani

Kasulu. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwavutia zaidi wawekezaji kwenda kuwekeza Kigoma ili kuufanya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara katika ukanda wa Ziwa Tanganyika na nchi jirani za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Samia amebainisha hayo leo Septemba 13, 2025 wakati wa mkutano wake wa…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CCM CHATO KASKAZINI KUANZA NA SOKO KUU

Mgombea Ubunge kupitia CCM Jimbo la Chato Kaskazini akiomba kura kwa wananchi.Mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini, Mwl. Cornel Magembe,akiomba kura kwa wananchi wa Jimbo hilo. …….. MGOMBEA Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwl.Cornel Magembe, ameahidi kuanza na ujenzi wa soko kuu la wilaya ya Chato mkoani Geita iwapo atachakuguliwa…

Read More