Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
  • Page 3,670
Habari

Mashindano ya Taifa ya klabu kuogelea yaanza kwa kishindo

April 20, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya Taifa Klabu ya Kuogelea yameanza leo Aprili 20,2024, huku  waogeleaji kutoka klabu mbalimbali wakionekana kuchuana vikali  kwenye bwawa

Read More
Habari

Viongozi Ahmadiyya wajifungia wakijadili mambo matatu

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili, huku mambo

Read More
Habari

ACT-Wazalendo yachambua ripoti ya CAG, yasema mambo ni yaleyale

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimesema yaliyobainika katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) yanaashiria mwendelezo wa ubadhirifu wa

Read More
Burudani

Makonda: Walitaka kuniua kwa drone wakashindwa

April 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka polisi mkoani humo kupambana na dawa za kulevya, akisema alinusurika kifo akipambana na dawa

Read More
Habari

Mkuu wa Magereza acharuka wafungwa kufia gerezani

April 20, 2024 Admin

Morogoro. Kamishna Jerenali wa Magereza Tanzania, Mzee Nyamka amewataka watumishi wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia sheria na waache kujihusisha na matendo yanayolitia

Read More
Michezo

JKT yaichapa Geita Queens 9-0, Stumai akiweka matano WPL

April 20, 2024 Admin

LEO saa 4:00 asubuhi katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo ilipigwa mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens ikiwa nyumbani na kuondoka na

Read More
Michezo

Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa

April 20, 2024 Admin

Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana

Read More
Michezo

Ayoub atwishwa zigo la lawama Kariakoo Dabi

April 20, 2024 Admin

KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha amemuanzisha kipa  Ayoub Lakred katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya watani zao, Yanga. Ayoub aliyesajiliwa na timu hiyo

Read More
Michezo

Yao arejea Yanga baada ya dakika 360

April 20, 2024 Admin

BAADA ya kukosekana katika michezo minne iliyopita sawa na dakika 360, hatimaye beki wa kulia wa Yanga, Attohoula Yao amerejea uwanjani kwa kupangwa kuanza katika

Read More
Michezo

Pacome amuangukia Gamondi, kocha amgomea

April 20, 2024 Admin

SAA chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kuja uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20 za mchezo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,669 3,670 3,671 … 3,688 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.