Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
  • Page 3,672
Habari

Boniphace Jacob asema wabadhirifu fedha za umma wachukuliwe hatua, akiichambua ripoti ya CAG

April 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob amesema kuchukua hatua kali za kinidhamu kwa watakaobainika kushiriki katika ubadhirifu wa fedha za umma katika

Read More
Michezo

Aliyetishia Kariakoo Dabi mtandaoni adakwa na Polisi

April 19, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Abdulshahib Hegga ‘GB64’ kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Ligi Kuu

Read More
Habari

Mbivu, mbichi suala la kikokotoo kujulikana Mei Mosi

April 19, 2024 Admin

Dodoma. Serikali imesema suala la kanuni mpya ya kikokotoo cha pensheni ya wastaafu lina maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan na limeanza kufanyiwa kazi, majibu

Read More
Michezo

Wakongwe: Ni Dabi ya suluhu au sare

April 19, 2024 Admin

 Mastaa waliowahi kuzichezea Simba na go Yanga wametoa utabiri wa mechi ya Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara inayopigwa kesho, Jumamosi, uwanjani Benjamin Mkapa, wengi

Read More
Habari

Wafugaji Monduli walia bwawa kupasuka, kupoteza maji

April 19, 2024 Admin

Arusha. Wananchi wa jamii ya wafugaji katika kijiji cha Nanja kilichopo wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wameiomba Serikali kuharakisha ukarabati wa kuta za bwawa la

Read More
Michezo

Aprili inavyoibeba Simba Kariakoo Dabi

April 19, 2024 Admin

MASHABIKI wa Simba na Yanga tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa

Read More
Habari

Mtoto adaiwa kujinyonga Arusha kisa kuchelewa shule

April 19, 2024 Admin

Arusha. Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Olomitu iliyoko Chekereni jijini Arusha, Yusuph Zephania (13) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kuogopa adhabu

Read More
Michezo

Mambo 3 yanaibeba Yanga SC

April 19, 2024 Admin

JUMAMOSI ya wiki hii, inapigwa Kariakoo Dabi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kuanzia

Read More
Habari

Hizi hapa dalili za changamoto ya afya ya akili kwa mjamzito

April 19, 2024 Admin

Mwanza. Kukosa usingizi wakati wa ujauzito, kujilaumu, kuwaza sana, kula sana na wakati mwingine kutokula kabisa ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa dalili za changamoto

Read More
Michezo

Kalaba apata nafuu, aanza kuzungumza, kula

April 19, 2024 Admin

ALIYEKUWA nyota wa  TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainfold Kalaba  amerejewa na fahamu na sasa anaweza kuzungumza na kula. Akitoa taarifa hiyo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,671 3,672 3,673 … 3,687 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.