Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
  • Page 3,675
Michezo

Kipa wa Simba SC mama’ke ni Yanga

April 18, 2024 Admin

MAMA mzazi wa kipa wa Simba, Hussein Abel, Mwaija Husein Fadhir amekiri kuwa yeye ni Yanga damu lakini hilo halihusiani na kazin ya mwanae. Amesema

Read More
Habari

Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali

Read More
Habari

Moravian yapata Askofu Mkuu, kuapishwa Juni 2

April 18, 2024 Admin

Mbeya. Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo Kuu la Magharibi (KMT-JKM), Dk Alinikisa Cheyo amepata mrithi wake baada ya Mchungaji Robert Pangani

Read More
Habari

Mbunge adai za ‘English Medium’ za Serikali zinakwenda kinyume na sera ya elimu bila malipo

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali

Read More
Michezo

Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF

April 18, 2024 Admin

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes’

Read More
Habari

Mshitakiwa akana maelezo yake, adai hajui kilichomuua mkewe

April 18, 2024 Admin

Geita. Mshtakiwa Bahati Shija anayekabiliwa na shitaka la kumuua mkewe, Grace Daud kwa kumpiga na chuma kichwani ya  kukataa kurudiana naye, ameiambia Mahakama hajui sababu

Read More
Michezo

Ukiwa na macho ZPL marufuku

April 18, 2024 Admin

UNGUJA. BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la

Read More
Habari

Serikali yaweka wazi juu uraia pacha

April 18, 2024 Admin

Ramadhan Hassan,Dodoma SERIKALI imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye asili ya

Read More
Habari

Msigwa akabidhiwa fomu, asema hana nia kugombea uongozi Chadema Taifa

April 18, 2024 Admin

Iringa. Hatimaye mgombea wa nafasi ya uenyekiti Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amekabidhiwa fomu ya kuwania nafasi hiyo. Wanawake wa Chadema Mkoa wa Iringa

Read More
Michezo

Simba, MO Dewji hakuna anayemlinda mwenzake

April 18, 2024 Admin

Penzi lililo imara ni lile ambalo kila mmoja anawajibika kwa mwenzake na kumlinda iwe katika nyakati za shida na raha. Walio katika penzi imara wanacheka

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,674 3,675 3,676 … 3,680 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.