Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
  • Page 3,676
Michezo

Ninja ile ishu ya Fei Toto, nilipakaziwa tu!

April 18, 2024 Admin

BEKI wa Lubumbashi Sport ya DR Congo, Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ kuna jambo amejifunza kutokana na kupata nafasi ya kucheza nje kwa awamu mbili tofauti,

Read More
Habari

Waziri asimulia alivyosaidiwa kusomeshwa na Sokoine

April 18, 2024 Admin

Arusha. “Siku zote nimekuwa nikiamini huyu baba mzalendo wa kweli amekuwa na dhamana kubwa katika maisha yangu, naona Mungu alimtuma ninyanyuke katika familia yetu ya

Read More
Michezo

Mabondia wanaomiliki ndinga zao | Mwanaspoti

April 18, 2024 Admin

ZAMANI mabondia wengi wa Bongo walikuwa wanapanda daladala au kukodisha magari kwa ajili ya kufika katika maeneo mengine kabla ya kuibuka kwa uwepo wa pikipiki

Read More
Habari

Rais Dk. Samia atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima nchini Uturuki

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Ankara cha nchini Uturuki, kimemtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Shahada

Read More
Habari

Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 54 baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano ya amani katika mikoa ya Dar es Salaam,

Read More
Michezo

Nyota Lille awafuata Ronaldo, Messi wapya Bongo

April 18, 2024 Admin

NILETEENI wachezaji wa maana’. Ndivyo alivyoagiza mchezaji wa zamani wa Lille ya Ufaransa, Souleymane Youla ambaye Juni mwaka huu, atatua nchini akiongoza jopo la maskauti

Read More
Habari

TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA ZAO KABLA HAZIJAINGIA SOKONI – MWANAHARAKATI MZALENDO

April 18, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WAFANYABIASHARA wa bidhaa za Vipodozi nchini wametakiwa kufanya maombi ya  usajili wa bidhaa  hizo kabla ya kuziingiza katika soko la

Read More
Habari

Ubaruku, Mbarali wafurika kumlaki Dk. Nchimbi

April 18, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na nderemo na wananchi wa Mbarali, wakiongozwa na

Read More
Habari

Zaidi ya tani 200,000 za korosho zasafirishwa nje ya nchi kupitia Bandari ya Mtwara

April 18, 2024 Admin

Mtwara. Tani 244,680 za korosho ghafi zenye thamani ya Sh454 bilioni zimezalishwa nchini huku tani 229,544 zikisafirishwa nje ya nchi kwa kutumia Bandari ya Mtwara

Read More
Burudani Michezo

Mafua: Hadi Diamond aliwahi kukodi cheni kwangu

April 18, 2024 Admin

BURUDANI yake kubwa siku zote kwake imekuwa kupanda juu ya ulingo kama msaidizi wa bondia na ikishindikana kwa bondia wa ndani basi usishangae kumuona akiwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,675 3,676 3,677 … 3,680 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.