Admin

Dk Biteko: Hakuna matokeo bila tathmini

Mwanza. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amezitaka taasisi za umma na binafsi kuhakikisha zinafanya ufuatiliaji na tathmini ya mara kwa mara ili kujiandaa na athari zinazoweza kujitokeza, kwa kuwa tayari zitakuwa na suluhu mkononi. Amesema mtu au taasisi isiyofanya tathmini hujikuta ikishangazwa na matokeo badala ya kuyatabiri na kujiandaa mapema….

Read More

Majaliwa: Tutasaka kura Kitanda kwa kitanda

Nachingwea. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kitasaka kura kwa namna yoyote ile hata kama ni nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda shuka kwa shuka katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizindua kampeni katika Wilaya ya Nachingwea leo Ijumaa Septemba 12,2025 Majaliwa amesema kuwa wanaCCM wanatakiwa kusaka kura za Rais,…

Read More

Pacome wa mwisho akifungwa kamba na Manara

NI zamu ya Pacome Zouzoua kufungwa kamba ya viatu na Haji Manara katika utambulisho wa wachezaji msimu huu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Msimu uliopita Manara alifanya hivyo kwa Stephane Aziz Ki, na pia aliwahi kufanya hivyo kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ wakati huo akiwa Yanga…

Read More

Haya hapa mazao sita yatakayonyanyua uchumi wa Tanga

Tanga. Watalaam wa kilimo na ushirika kutoka halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga wamebainisha mazao yatakayowasaidia wananchi hususan wakulima kuinua uchumi wao. Akizungumza kwenye kikao kilichojumuisha wataalamu wa kilimo, ushirika na wadau wengine kilichofanyika leo Septemba 12, 2025 wilayani Handeni mkoani Tanga, Ofisa kilimo Mkoa, George Mmbaga amesema lazima wakulima wasaidiwe ili kulima kilimo chenye…

Read More

Mwinyi, Othman kugawana visiwa kuzisaka kura Zanzibar

Unguja. Wakati kesho zikianza rasmi kampeni za Uchaguzi Mkuu Zanzibar, Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo vinatarajia kugawana visiwa katika ufunguzi. CCM itazindulia kampeni zake katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Unguja kuanzia saa 2:00 asubuhi, huku ACT-Wazalendo kikizindua kisiwani Pemba. Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 12, 2025, mgombea urais wa Zanzibar…

Read More

Manara aibua shangwe kwa Mkapa 

KAMA kawaida ya Haji Manara awamu hii ameingia na warembo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salamaa panakpofanyika tamasha la Wiki ya Mwananchi. Hilo ni tamasha la saba kwa Yanga tangu lilipoanzishwa 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk Mshindo Msolla. Manara amevalia nguo za kijani, ambapo baada ya mashabiki kumuona walishangilia…

Read More