Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Author: Admin

  • Home
  • Admin
  • Page 3,698
Habari

Hali tete wajawazito Temeke, uongozi wataja mikakati

April 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Idadi kubwa ya wajawazito wanaopokewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke imesababisha wachangie kitanda kimoja wawili hadi watatu. Licha ya

Read More
Michezo

Baba Sure Boy auweka mpira kati Kariakoo Dabi

April 18, 2024 Admin

Abubakar Salum ‘Sure Boy Sr’ ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amesema Kariakoo Dabi haijawahi kutabirika, haijalishi ni timu

Read More
Habari

VIDEO: Mapito wanawake waliotelekezwa na waume zao Bwawa la Mtera

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Wazazi wana jukumu la malezi ya watoto, lakini hali imekuwa tofauti kwa baadhi ya familia ziishio pembezoni mwa Bwawa la Mtera wanaolelewa na mzazi

Read More
Habari

Serikali kupanua mkongo wa Taifa kuboresha mawasiliano

April 18, 2024 Admin

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakilalamikia gharama za vifurushi vya intaneti kuwa juu, Shirika la Mawasiliano nchini (TTCL) limeanza kupanua mkongo wa Taifa na kuuongezea

Read More
Burudani

Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

April 18, 2024 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto

Read More
Habari

Petroli yaadimika Zanzibar, wananchi wapaza sauti

April 18, 2024 Admin

Unguja. Zanzibar inakabiliwa na ukosefu wa mafuta ya Petroli kwa siku mbili mfululizo na kusababisha adha kwa wananchi wanaohitaji nishati hiyo.  Tatizo hilo limeanza Aprili

Read More
Habari

Polisi yawashikilia watu 21 wakituhumiwa kwa uhalifu

April 18, 2024 Admin

Unguja. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 21 wakidaiwa kujihusisha na matukio ya wizi, uporaji na unyang’anyi wa kutumia mapanga.  Watuhumiwa wamekamatwa baada ya

Read More
Habari

Petroli yaanza kupatikana, hofu bado Unguja

April 18, 2024 Admin

Unguja. Licha ya huduma ya mafuta ya petrol kuanza kupatikana usiku wa kuamkia leo Jumatano, Aprili 17, 2024 kisiwani Unguja, bado hofu imeendelea kuibuka kutokana

Read More
Michezo

Kipa wa Simba SC mama’ke ni Yanga

April 18, 2024 Admin

MAMA mzazi wa kipa wa Simba, Hussein Abel, Mwaija Husein Fadhir amekiri kuwa yeye ni Yanga damu lakini hilo halihusiani na kazin ya mwanae. Amesema

Read More
Habari

Mbunge azikataa ‘English Medium’ za Serikali

April 18, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Taska Mbogo amezichongea manispaa na halmashauri kwa kuanzisha shule za mkondo wa Kiingereza ‘English Medium’ na kulipia ada, hali

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3,697 3,698 3,699 … 3,704 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.