Wananchi Ngara kunufaika na msaada wa gari la zima moto
Ngara. Serikali imekabidhiwa gari la kuzimia moto kwa ajili ya kusaidia shughuli za kudhibiti majanga ya moto katika Wilaya ya Ngara mkoani Kagera. Kwa miaka mingi, wakazi wa Ngara wamekuwa wakishuhudia moto ukiteketeza nyumba, mali na hata maisha bila msaada wa haraka. Hali hiyo inatarajiwa kubadilika kufuatia msaada wa gari hilo la zima moto lililotolewa…