Admin

Wananchi Ngara kunufaika na msaada wa gari la zima moto

Ngara. Serikali imekabidhiwa gari la kuzimia moto kwa ajili ya kusaidia shughuli za kudhibiti majanga ya moto katika Wilaya ya Ngara mkoani Kagera. Kwa miaka mingi, wakazi wa Ngara wamekuwa wakishuhudia moto ukiteketeza nyumba, mali na hata maisha bila msaada wa haraka. Hali hiyo inatarajiwa kubadilika kufuatia msaada wa gari hilo la zima moto lililotolewa…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI ACHANA MISTARI BONGO FREVA AKIOMBA KURA

Mgombea Ubunge Jimbo la Chato kusini,Paschal Lutandula, akichana mistari ya bongo dreva. ………… CHATO ZIKIWA zimesalia siku tano kufanyika Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani nchini, mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, amelazimika kuchana mistari ya muziki wa kizazi jipya. Hatua hiyo ililenga kuomba kura kwa wananchi…

Read More

 Watu wasiojulikana wachoma nyumba ya Polisi Songwe

Songwe. Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Polisi Kata wa Chitete iliyopo Kijiji cha Ikumbilo, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augostino Senga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa lilitokea usiku wa Oktoba 22, 2025 wakati askari huyo akiwa kwenye majukumu maalumu. Kamanda Senga amesema nyumba hiyo inamilikiwa…

Read More

Nini kitafuata kwa wenyeviti waliogombea udiwani

Dar na Pwani. Wakati baadhi ya wenyeviti wa Serikali za mitaa wakijitosa kuwania udiwani kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema wale watakaochaguliwa kuwa madiwani watalazimika kung’atuka kwenye nafasi za awali. Wenyeviti hao ni wale waliochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita wa Serikali za…

Read More

Kushughulikia ushuru uliofichwa wa saratani ya matiti katika visiwa vya Pasifiki – maswala ya ulimwengu

Katika Mkoa wa Hela, katika mambo ya ndani ya mbali ya Bara la PNG, wanawake wa vijijini wangehitaji kusafiri umbali mkubwa kwa barabara au hewa kufikia hospitali ambayo hutoa uchunguzi wa matiti. Mikopo: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (Sydney, Australia) Ijumaa, Oktoba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SYDNEY, Australia, Oktoba 24 (IPS)- Mzigo…

Read More