Admin

Apata kitita cha Sh30 milioni akiibuka kidedea usomaji Quran

Unguja.  Abdulazizi Ali Khamis amepata kitita cha Sh30 milioni baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika Zanzibar. Mashindano hayo yanayofanyika kwa mara ya tatu mfululizo, yamewashirikisha washiriki 11 kutoka mabara sita katika mataifa ya Uingereza, Brazir, Comoro, Tunisia, Australia, Afrika Kusini, Marekani, Nigeria, Tanzania na mwenyeji Zanzibar. Mshindi wa pili kutoka nchini…

Read More

Dosari za kisheria zamnusuru kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachilia huru James Kaliwa aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la mauaji, baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka haukuthibitisha kesi yake bila shaka yoyote. Uamuzi huo uliobatilisha adhabu hiyo umetolewa Machi 9,2026 na  jopo la majaji watatu ambao ni Ferdinand Wambali,Omar Othuman Makungu na Agnes Mgeyekwa. Mahakama hiyo  ilibaini kuwa…

Read More

‘Piga nikupige’ yashika kasi Mashariki ya Kati

Dar es Salaam. Mashambulizi makali yameendelea kufanyika Mashariki ya Kati ambapo nchi zinazohusika moja kwa moja katika mapigano hayo zikishambuliana kwa majibizano. Nchi za Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi hayo dhidi ya Iran, nchi ambayo nayo haikusita kulipiza kisasi kwa kuishambulia Israel moja kwa moja na kuzilenga mali za Marekani zilizopo katika ukanda huo. Hadi…

Read More

Raundi 10 ZPL kuchezwa Gombani, Bodi yafafanua

KATIKA kuhakikisha Pemba inafunguka kimichezo, Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ipo katika mazungumzo ya kuomba kuutumia uwanja mkubwa wa Gombani katika raundi 10 zilizosalia za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Hatua hiyo inalenga kuzisaidia timu, hasa kutoka Pemba, kurushwa mubashara kama ilivyo za Unguja. Katika misimu miwili mfululizo, mechi zinazochezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo…

Read More