Wafanyabiashara Watakiwa Kulipa Kodi kwa Hiari Kuchochea Maendeleo
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ametoa wito kwa wafanyabiashara kuendelea kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi kwa hiari ili kuchangia maendeleo ya nchi kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Akizungumza wakati wa futari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Machi 13, 2026 jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Mkuu wa…