SUA YAANDAA HAFLA YA IFTAR KUIMARISHA UMOJA NA MSHIKAMANO MIONGONI MWA WATUMISHI
Farida Mangube, Morogoro CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeandaa hafla ya Iftar kwa watumishi wake waumini wa Dini ya Kiislamu ikiwa ni sehemu ya kuimarisha umoja, mshikamano na mahusiano mema miongoni mwa wanajumuiya wa chuo. Hafla hiyo imefanyika Machi 13, 2026 katika Ukumbi wa Multipurpose uliopo Kampasi ya Edward Moringe, na kuhudhuriwa na…