Admin

Dosari za kisheria zamnusuru kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachilia huru James Kaliwa aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kosa la mauaji, baada ya kubaini kuwa upande wa mashtaka haukuthibitisha kesi yake bila shaka yoyote. Uamuzi huo uliobatilisha adhabu hiyo umetolewa Machi 9,2026 na  jopo la majaji watatu ambao ni Ferdinand Wambali,Omar Othuman Makungu na Agnes Mgeyekwa. Mahakama hiyo  ilibaini kuwa…

Read More

‘Piga nikupige’ yashika kasi Mashariki ya Kati

Dar es Salaam. Mashambulizi makali yameendelea kufanyika Mashariki ya Kati ambapo nchi zinazohusika moja kwa moja katika mapigano hayo zikishambuliana kwa majibizano. Nchi za Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi hayo dhidi ya Iran, nchi ambayo nayo haikusita kulipiza kisasi kwa kuishambulia Israel moja kwa moja na kuzilenga mali za Marekani zilizopo katika ukanda huo. Hadi…

Read More

Raundi 10 ZPL kuchezwa Gombani, Bodi yafafanua

KATIKA kuhakikisha Pemba inafunguka kimichezo, Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ipo katika mazungumzo ya kuomba kuutumia uwanja mkubwa wa Gombani katika raundi 10 zilizosalia za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Hatua hiyo inalenga kuzisaidia timu, hasa kutoka Pemba, kurushwa mubashara kama ilivyo za Unguja. Katika misimu miwili mfululizo, mechi zinazochezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo…

Read More

TOZO MPYA ZA BANDARI ZIFUTWE KABISA-TACAS

……… Wafanyabiashara na wadau wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wameiomba Serikali kuondoa kabisa tozo mpya za maboresho ya miundombinu ya bandari zilizotangazwa hivi , wakidai kuwa zinaweza kuongeza gharama za biashara na hatimaye kuumiza walaji wa mwisho. Wadau hao wameeleza kuwa licha ya uamuzi wa mamlaka ya Bandari kusitisha kwa muda tozo hizo hadi…

Read More

Chama atoa kauli nzito Simba

LICHA ya ushindani mkali uliopo katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama, anaamini kikosi chao kina uwezo na ubora wa kutwaa ubingwa msimu huu. Chama amesema kikubwa kwa sasa ni wachezaji kuendelea kupambana katika kila mchezo na kuhakikisha wanatumia vizuri nafasi wanazozipata ili kuendelea kukusanya pointi muhimu. Kauli…

Read More