Admin

DKT.SAMIA AAHIDI KUIREMBESHA TABORA KWA TAA ZA BARABARANI 2,500

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More

Ngome Yazidi Kung’ara BAMMATA – Global Publishers

Timu za Ngome zinazomilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania zimezidi kung’ara katika mashindano ya  Michezo mbalimbali ya Majeshi (BAMMATA) ambayo yanafanyika mjini  Zanzibar. Baadhi ya michezo ambayo inaongoza  hadi sasa ni pamoja na mpira wa miguu, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, mpira wa mikono (handball), mpira wa pete…

Read More

Meridian Bonanza Yaanza Kutikisa Ulimwengu wa Kubashiri

MERIDIAN Bonanza imewasili kwa kasi kubwa ikiwa imebeba burudani na ushindi. Ukiwa ni mchezo mpya kabisa, Bonanza inaleta upekee, msisimko na teknolojia ya kisasa inayomweka mchezaji katikati ya kila tukio. Huu si mchezo wa kawaida, ni safari ya ushindi isiyotabirika. Meridian Bonanza imeundwa kwa ubora wa hali ya juu, ikijumuisha muonekano wa kuvutia na athari…

Read More