Admin

Tengeneza Mpunga Leo na Meridianbet

NI Ijumaa nyingine ya kuanza kufikiria mkwanja wa maana ambapo ligi mbalimbali zinaendelea baada ya mapumziko ya Kimataifa. Sasa ni muda wa wewe pia kurejea kuokoto kwa kubashiri mechi zako kwa dau lolote. LALIGA leo hii kule Hispania itaendelea kwa mtanange mmoja ambapo Sevilla FC baada ya kushinda mechi yake iliyopita atakipiga dhidi ya Elche…

Read More

Serikali ilivyojizatiti kuondoa nishati isiyo salama ya kupikia

Dar es Salaam. Licha ya jitihada zinazoendelea kufanyika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Watanzania wengi bado wanatumia isiyo salama, hali inayohatarisha afya zao na kuharibu mazingira. Hatua hiyo inaifanya Serikali kusimama kikamilifu katika utekelezaji wa mkakati unaolenga kufikia 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More

DKT.NCHIMBI ASALIMIA WANANCHI WA ARUMERU ,AOMBA KURA

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi akisalimia wananchi wa Jimbo la Arumeru Magharibi alipokuwa akiendelea na mikutano yake ya kampeni kwa ajili ya kunadi Ilani ya chama hicho pamoja na kuomba kura kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani wa CCM mkoani Arusha leo Septemba…

Read More

MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZEKA NCHINI

………………. 📌 Mhandisi Mramba asema yamefikia asilimia 20.3  kutoka asilimia 6.9 ya mwaka 2021 📌 Lengo ni kufikia asilimia 80 ifikapo 2034 📌 Apongeza juhudi za Rais Samia katika kuwezesha upatikanaji wa nishati safi, salama na nafuu kwa Watanzania Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha.Felchesmi Mramba ameeleza kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia…

Read More

DKT NCHIMBI AWAHUTUBIA WANA LONGIDO,ARUSHA.

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John  Nchimbi, amewahutubia Wananchi wa Longido kwenye mkutano mdogo wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Polisi, leo Ijumaa Septemba 12,2025. Mara baada ya kuwasili eneo la Mkutano,Balozi Nchimbi alikaribishwa kwa kuvalishwa vazi la heshima la…

Read More

DKT.NCHIMBI AWASILI JIJINI ARUSHA KUENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John  Nchimbi, amewasili mkoani Arusha leo Ijumaa Septemba 12,2025 na kuendelea na mikutano yake ya kampeni akitokea  Mkoa wa Katavi. Mara baada ya kuwasili jijini humo,Balozi Dkt.Nchimbi ataelekea Wilayani Longido,Jimbo la Longido  ambako atawahutubia Wananchi…

Read More

Burudani zamiminika kwa Mkapa | Mwanaspoti

BURUDANI mbalimbali za muziki ukiwemo wa Bongofleva zimeendelea kuteka hisia za mashabiki wa soka waliojitokeza katika kilele cha Wiki ya Mwananchi kinachofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ndani ya uwanja huo mashabiki waliojitokeza wamekuwa wakiburudishwa na nyimbo mbalimbali huku wakiwa katika furaha wakati tamasha hilo likiendelea kushika kasi. Wakati hali ya…

Read More