MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB ATEMBELEA MATAWI BAADA YA MABORESHO YA MFUMO
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela ameendelea na ziara zake katika baadhi ya matawi ya jijini Dar es Salaam kukutana na wateja ikiwa ni siku chache baada ya Benki kukamilisha maboresho makubwa ya mfumo wake mkuu wa utoaji huduma (Core Banking System). Akiwa katika tawi la CRDB TPA lililopo katika jengo la Bandari…