
Mechi inayofuata baada ya kipigo kikubwa -3
TUNAENDELEA na simulizi zetu za mechi ijayo ya watani wa jadi, Aprili 20 mwaka huu…yaani Jumamosi hii! Hii ni mechi ya kwanza tangu Yanga wawape watani wao Simba kipigo kikubwa cha 5-1, Novemba 5, 2023. Hiki ni moja ya vipigo vikubwa ambavyo vimewahi kutokea kwenye mechi watani. Kupitia makala hizi tunakuletea kumbukumbu ya mechi iliyofuata…