Admin

Lissu, Jamhuri walivyotambiana kesi ya uhaini

‎‎Dar es Salaam. Tundu Lissu, mshtakiwa wa kesi ya uhaini na Jamhuri, kila upande umeutambia mwingine kuhusu hatima ya shauri hilo baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kukataa kupokea vielelezo vya upande wa mashtaka. Vielelezo vilivyokataliwa ni flash disk na memory card (vifaa vya kielektroniki vya kuhifadhi kumbukumbu) zilizokuwa na picha mjongeo…

Read More

Mechi za Simba, Yanga ulinzi kuimarishwa Kwa Mkapa

Wakati Yanga na Simba zikitarajia kucheza mechi zao za marudio za mtoano za Ligi ya Mabingwa Afrika kesho na keshokutwa, Jeshi la Polisi limesema litafanya ukaguzi kuhakikisha kuna usalama wa hali ya juu. Katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Malawi Yanga ilichapwa bao 1-0 na Silver Strikers hivyo kesho inatakiwa kupata ushindi mnono ili iweze…

Read More

Tahadhari za kimaadili, kiafya huduma za sauna na spa

Dar es Salaam. Wakati uanzishwaji wa maeneo kwa ajili ya utunzaji wa mwili, afya na mapumziko (sauna na spa) ukiongezeka, angalizo limetolewa kuhusu huduma hizo ikielezwa baadhi hutweza utu, hususani kwa wanawake. Sauna ni chumba maalumu chenye joto kali (kwa kawaida kati ya nyuzijoto sentigredi 70 hadi 100) kinachotumika kwa ajili ya kutoa jasho ili…

Read More