Wakulima wagawiwa mashine za umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji
Dodoma. Serikali imegawa mashine 250 za umwagiliaji zenye thamani ya Sh3.3 bilioni kwa wakulima 2,264 wanaotoka kwenye mikoa saba yenye uhakika vya vyanzo vya maji ikiwa ni awamu ya kwanza ya mradi wa majaribio kwa kipindi cha miezi sita ili kuongeza uzalishaji wa mazao hasa ya mbogamboga na matunda. Mikoa itakayonufaika na mradi huo wa…