TOZO MPYA ZA BANDARI ZIFUTWE KABISA-TACAS
……… Wafanyabiashara na wadau wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wameiomba Serikali kuondoa kabisa tozo mpya za maboresho ya miundombinu ya bandari zilizotangazwa hivi , wakidai kuwa zinaweza kuongeza gharama za biashara na hatimaye kuumiza walaji wa mwisho. Wadau hao wameeleza kuwa licha ya uamuzi wa mamlaka ya Bandari kusitisha kwa muda tozo hizo hadi…