
Luhemeja akumbusha fursa biashara hewa ukaa
Geita. Watanzania wametakiwa kuacha kuendelea kuona mabadiliko ya tabia nchi kama changamoto badala yake waitumie kama fursa ya kiuchumi kwa kupanda miti na kuitunza ili kufanya biashara ya hewa ukaa inayohimizwa na jumuiya ya kimataifa. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais anaeshughulikia Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja ameyasema hayo wakati wa shughuli ya upandaji…