
SERIKALI KUJA NA MIKAKATI YA KUPIMA UBORA WA ELIMU NCHINI
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ,akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya Tathimini ya ujifunzaji na ufaulu wa Wanafunzi . ……………. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa Serikali inaweka mikakati ya kuendelea kupima ubora wa elimu kwa kuzingatia vigezo Kitaifa na Kimataifa. Prof. Mkenda ametoa…