Admin

Majaliwa atoa muda kwa halmashauri kuanzisha madawati ya sayansi

Tanga. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka halmashauri zote nchini ifikapo Julai, 2025 ziwe zimekamilisha uanzishwaji wa madawati ya sayansi, teknolojia na ubunifu. Pia ameagiza masuala hayo yawe sehemu ya mipango ya halmashauri na kutengewa bajeti kila mwaka ili kuhudumia vijana wanaojishughulisha na ubunifu. Kwa kufanya hivyo, amesema kutasaidia uimarisha uwezo wa nchi katika utafiti, matumizi…

Read More

SERIKALI KUJENGA MAKUMBUSHO YA MARAIS JIJINI DODOMA

Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali imetangaza kuanza ujenzi wa Makumbusho ya Marais katika jiji la Dodoma ili kuhifadhi historia ya waasisi na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania. Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki ameyasema hayo bungeni leo wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2024/25. Mhe….

Read More

Wawili wakamatwa kwa tuhuma za mauaji, dawa za kulevya

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limewakamata watu wawili kwa tuhuma za usafirishaji wa dawa za kulevya na mauaji. Wawili hao ni dereva bajaji, Peter Mwacha (18) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha ambaye amekamatwa akituhumiwa kusafirisha  dawa za kulevya aina ya mirungi kilogramu 98.55, huku Ramadhani Yahaya (28) maarufu Msambaa akituhumiwa kwa mauaji. Taarifa…

Read More

TBS KANDA YA KATI YATEKETEZA BIDHAA ZISIZO NA UBORA

  Afisa Mdhibiti ubora Kanda ya kati TBS, Sileja Lushibika, akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja na vipondozi vyenye thamani ya shilingi milioni 42.5. Afisa Mdhibiti ubora Dodoma TBS Bi. Halima Msonga,akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja…

Read More

Wakosa makazi nyumba zao zikibomolewa Kibaha

Kibaha. Zaidi ya wananchi 100 katika Kata ya Pangani Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani ,wamekosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na tingatinga leo Mei 31, 2024. Wakati wananchi hao wakisema hawakupewa taarifa ya ubomoaji huo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Fokas Bundara amesema ni wavamizi na kwamba walipewa…

Read More