
Demokrasia yetu kwa hisani ya mabeberu
VIONGOZI wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejipambanua kuwa mabingwa wa siasa za masikini jeuri: mara hatutaki fedha za mabeberu, mara tunataka msaada wa mabeberu. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea) Mmoja wa watu waliokuwa watetezi wa safari za nje za Jakaya Mrisho Kikwete alizokuwa akifanya kila uchao wakati wa awamu yake ni aliyekuwa Waziri wa…