Admin

Spika Bunge la Uganda apigwa marufuku kukanyaga Marekani

Kampala. Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among ni miongoni mwa vigogo  watano nchini humo walipigwa marufuku kuingia nchini Marekani kwa madai ya kuhusika na ufisadi na uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Idara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Matthew Miller leo Mei 30, 2024 imesema, vigogo hao wanatuhumiwa…

Read More

SERIKALI YAELEZA NAMNA WALIMU WAPYA WATAKAVYOAJIRIWA

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI imetangaza mkakati wa uboreshaji wa elimu nchini huku ikieleza walimu ambao wataajiriwa ni wale wataokuwa wamefanya mitihani yao na kufaulu vizuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo wizara ilikuwa ikijaza nafasi zilizokuwa zikihitajika bila kupitia mchakato huo . Mkakati huo wa serikali umetangazwa na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia  Profesa  Adolf…

Read More

Manchester United wanakabiliwa na kigugumizi katika harakati za kumtafuta Jarrad Branthwaite.

Everton haitazingatia mikataba yoyote ya bei iliyopunguzwa kwa Jarrad Branthwaite msimu huu wa joto. Iliripotiwa jana Manchester United wako katika nafasi nzuri ya kumfanya beki huyo wa Everton kuwa usajili wao wa kwanza msimu huu wa joto, huku Sir Jim Ratcliffe akijiandaa kufanya mazungumzo ya bei nafuu yenye thamani ya £40m. Everton wanashikilia msimamo thabiti…

Read More

Arsenal na Benjamin Sesko mambo safi.

Benjamin Sesko ‘amekubali’ uhamisho wa Arsenal msimu huu wa joto huku Gunners wakipanga kumnunua mshambuliaji wa RB Leipzig kwa pauni milioni 45. Mshambulizi wa RB Leipzig Benjamin Sesko anaripotiwa kupendelea kuhamia Arsenal msimu huu wa joto. Kikosi cha Mikel Arteta kina nia ya kuimarika katika safu ya ushambuliaji katika msimu wa mbali huku Gabriel Jesus…

Read More

Sintofahamu fidia mradi wa bomba la mafuta EACOP

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Manyara wakilalamika kulipwa fidia ndogo waliyolipwa kupisha ujenzi wa Bomba la  Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema malipo hayo yamezingatia taratibu zote za ulipaji fidia za kitaifa na kimataifa. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi, Mei 30, 2024 Mkurugenzi wa TPDC,  Musa…

Read More

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto; Niko Tayari Kushirikiana na VETA

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha akizungumza na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa VETA Dora Tesha wakati alipotembelea Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlal Mjini Tanga.   Na Chalila Kibuda,Tanga MKUU wa Wilaya ya Lushoto Japhari Kubecha amesema kuwa kama Serikali wako…

Read More

Chelsea na Napoli kwa sasa hawafanyi kazi ya kubadilishana kati ya Victor Osimhen na Romelu Lukaku.

Kwa sasa, hakuna mpango wa kubadilishana unaoendelea kati ya Klabu ya Soka ya Chelsea na Napoli kwa kubadilishana Victor Osimhen na Romelu Lukaku. Kufikia sasa, vilabu vyote viwili havijafikia makubaliano juu ya mpango wa kubadilishana unaohusisha washambuliaji hao wawili. Ripoti zinazopendekeza vinginevyo ni za kubahatisha na zinapaswa kuchukuliwa kwa chumvi hadi matangazo rasmi yafanywe na…

Read More

Lema abwaga manyanga Chadema kaskazini

MWENYEKITI anayemaliza muda wake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo ili kulinda maslahi ya chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Lema ametangaza msimamo huo leo Alhamisi kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X, ikiwa ni siku moja tangu Chadema ianze kufanya uchaguzi…

Read More