Admin

AKU Yataka Vijana Kujiunga Katika Shahada ya Uuguzi

[8:37 PM, 5/30/2024] Chalila Tg: AKU yataka vijana kujiunga katika shahada ya Uuguzi Na Chalila Kibuda, Michuzi TV TangaCHUO Kikuu cha Aga Khan Tanzania (AKU) kimesema kuwa vijana kutumia fursa ya kujiunga na na Chuo Kikuu cha Aga Khan kusoma shahada ya kwanza ya Uuguzi kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita kwa mwaka wa Masomo…

Read More

MAKUMBUSHO INAYOTEMBEA YATINGA BUNGENI – DODOMA

Na Sixmund Begashe, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa, imeweka onesho adimu la vioneshwa vya urithi wa asili na utamaduni ndani ya viwanja vya Bunge, kupitia gari Maalum, kwa lengo la kuelezea Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara hiyo kupitia Taasisi ya Makumbusho. Akikagua maonesho hayo, Waziri wa Maliasili na…

Read More

FCC kutumia akili mnembe(AI) kuimarisha utendaji kazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara huku elimu zaidi ikihitajika kwa wadau na wananchi kuhusu Teknolojia hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 30,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), William…

Read More

Ukosefu wa ajira kwa vijana unavyozalisha ‘uchawa’

Dar es Salaam. Vijana kukosa mamlaka ya kisiasa na nguvu za kiuchumi, kumetajwa kuwa chimbuko la baadhi yao kujitafutia fursa kwa kugeuka ‘chawa.’ Chawa ni mdudu anayeishi mwilini kwa kunyonya damu, ambaye anafananishwa na vijana ambao wamekuwa wakijipendekeza na wakiwaganda watu wenye nacho au viongozi ili kujitafutia masilahi binafsi. Ukosefu wa nguvu za kiuchumi unaelezwa…

Read More

FCC KUTUMIA AKILI MNEMBA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI

  Na: Hughes Dugilo, DAR ES SALAAM. Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara huku elimu zaidi ikihitajika kwa wadau na wananchi kuhusu Teknolojia hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 30,2024 Jijini Dar es Salaam, na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani…

Read More

Ukarabati kivuko cha MV Magogoni kukamilika Desemba

Dodoma. Bunge limeelezwa ukarabati wa kivuko cha Mv Magogoni utakamilika mwishoni mwa Desemba, 2024 na kitaanza kutumika. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amesema hayo leo Alhamisi, Mei 30, 2024 akijibu swali la msingi la mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile. Mbunge huyo alihoji ni lini matengenezo ya Mv Magogoni nje ya nchi yatakamilika na…

Read More

BUNGE LAPITISHA BAJETI WIZARA YA UJENZI KWA ASILIMIA 100

Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Jana Mei 29,2024 Waziri Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliwasilisha makadirio ya bajeti ya kiasi hicho kwa…

Read More

Chelsea, Wolves na Newcastle timu tatu kati ya nyingi za Premier League kuuliza kuhusu mlinda mlango wa La Liga.

Msimu huu, Villarreal ilikuwa moja ya timu mbaya zaidi kwenye safu ya ulinzi ya La Liga, lakini haijasitishwa, kipa Filip Jorgensen kuonesha kiwango kizuri barani humo. Kipa huyo wa Denmark aliaminiwa msimu huu licha ya makosa kadhaa msimu uliopita, na amelipa faida. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akikabiliwa na maswali kutoka kwa…

Read More