Admin

Majaliwa awaondoa hofu wamiliki wa hati za kimila

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaondoa hofu Watanzania waliomiliki hati za kimila akisema zipo kisheria kama  zinazotolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.  Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Mei 30, 2024 wakati wa maswali ya hapo kwa papo alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Busekelo, Atupele Mwakibete. Mbunge huyo amesema hati…

Read More

BODI YA MFUKO WA BARABARA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 77

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25. Amesema katika mwaka wa fedha 2023/24, Bodi ilipanga kukusanya Shilingi bilioni 856.795 na kati ya fedha hizo,…

Read More

Adaiwa kumuua mwanaye bila kukusudia

Geita.  Mkazi wa Kijiji cha Chigunga wilayani Geita, Stefano Mlenda(31)  amefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Geita  akishtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia  mtoto Fredrick Stephano (7) baada ya kuiba Sh700 na kwenda kununua soda. Kesi hiyo namba 12387 ya mwaka 2024 ilikuja mahakamani hapo kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali. Akisoma…

Read More

NBC Dodoma Marathon msimu wa tano kufanyika Julai 28

Benki ya NBC imezindua rasmi msimu wa tano wa mbio zake zinazofahamika kama NBC Dodoma Marathon msimu wa nne  zinazotarajiwa kufanyika tarehe 28 Julai mwaka huu jijijni Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Lengo kuu la mbio hizo ni kukusanya fedha ili kusaidia mapambano dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi na  kutoa ufadhili wa…

Read More

MUHULA WA KWANZA KIDATO CHA TANO KUANZA JULAI 1

Na Gideon Gregory, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Serikali ikiwemo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekamilisha zoezi la Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Tano katika Shule za Sekondari na Vyuo vya Elimu ya Ufundi vya Serikali kwa mwaka 2024 ambapo Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka…

Read More

NMB yawatangazia fursa vijana wenye bunifu mbalimbali

BENKI ya NMB imeshiriki kwenye maadhimisho ya elimu, ujuzi na ubunifu yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlaly huku ikitoa fursa kwa vijana wenye bunifu mbalimbali kwenda kufanya majaribio kwenye mfumo maalum wa majaribio katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yalisemwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Baraka Ladislaus wakati…

Read More

Wabunge wataka bajeti Wizara ya Ujenzi ipitiwe upya

Dodoma. Wabunge wameitaka Kamati ya Bunge ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili kuongeza fedha kwa wizara hiyo. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa jana Mei 29, 2024 aliwasilisha bajeti ya wizara hiyo huku akiomba Bunge lipitishe Sh1.7 trilioni kwa mwaka 2024/25. Hata hivyo, wabunge wamesema kiwango hicho cha fedha hakitafikia…

Read More