Admin

Mume alia kunyimwa unyumba kwa miaka tisa

Mbarali. “Ni kama picha ya kuigiza kumbe kweli nimepitia vipindi vigumu katika maisha  ya mahusiano,  nimeambulia vipigo manyanyaso, kunyimwa unyumba na hata kutelekezewa familia.” Ni kauli ya Elia John (48) mkazi wa Igurusi wilayani Mbalari Mkoa wa Mbeya ambaye amedai kupitia visa na mikasa kutokana na mwenza wake kumsaliti kwa miaka tisa baada ya kumfungulia…

Read More

Samatta kustaafu Stars, baba akata mzizi wa fitina

BAADA ya kuwepo kwa tetesi za nahodha wa taifa Stars, Mbwana Samatta, kuandika barua ya kustaafu kuitumikia timu hiyo, baba wa supastaa huyo ameibuka na kutolea ufafanuzi. Mzee Ally Pazi Samatta amesema ingawa hakuzungumza na mwanaye, alizisikia taarifa hizo kwa watu wake wa karibu, ila anachomsisitiza straika huyo asikate tamaa kulitumikia taifa lake. “Samatta hakunishirikisha…

Read More

Uwezekano wa Upamecano kuondoka Bayern.

Umekuwa msimu mgumu kwa Dayot Upamecano (25), ambaye siku zote amekuwa akionyesha kiwango bora kabisa akiwa na Bayern Munich. Kulingana na L’Équipe, beki huyo wa zamani wa RB Leipzig anaweza kuondoka katika klabu hiyo ya Bavaria msimu huu wa joto. Msimamo wa Bayern Munich uko wazi – hawataki kuuza Upamecano. Wakati Matthijs De Ligt na…

Read More

Utata kutoweka kwa mvuvi, polisi wakana kumkamata

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita wiki tatu tangu Lilenga Lilenga, mkazi wa Mwandiga mkoani Kigoma kudaiwa kuchukuliwa na watu wanaodaiwa ni polisi, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Filemon Makungu amesema wameshaanza uchunguzi. Akizungumza na Mwananchi jana Jumatano Mei 29, 2024, mke wa Lilenga,  Johari Kabwe amesema wanawashuku polisi kwa kuhusika na kupotea kwa mume…

Read More

UKARABATI WA MV. MAGOGONI KUKAMILIKA DISEMBA 2024

Ukarabati wa Kivuko cha Mv. Magogoni unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Desemba, 2024 na kurejeshwa Nchini ili kuanza kutoa huduma kwa wananchi. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 30 Mei 2024 wakati akijibu swali la Mbunge wa Kigamboni Dkt. Faustine Ndungulile aliyeuliza ni lini matengenezo ya…

Read More