Admin

Rais Samia ateua watedaji Tume ya Mipango

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akiwamo Dk Mursali Milanzi, aliyeteuliwa kuwa Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango anayeshughulikia masuala ya Mipango ya Kitaifa. Kabla ya uteuzi huo, Dk Milanzi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa katika Tume ya Mipango. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Read More

Aston Villa iko tayari kuwasilisha ombi la kumnunua kiungo wa Lazio Matteo Guendouzi.

Katika ripoti za hivi punde, Aston Villa, chini ya usimamizi wa Unai Emery, inajiandaa kuwasilisha ofa ya kumsajili Matteo Guendouzi kutoka Lazio. Guendouzi, kiungo Mfaransa ambaye aliwahi kuichezea Arsenal na kwa sasa anaichezea Marseille, ameripotiwa kutofautiana na kocha wa Lazio, Igor Tudor. Ofa hiyo inatarajiwa kuwa takriban €30m (£26m), na inaonekana kwamba mchezaji huyo na…

Read More

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Kanda ya Nyasa

Uchaguzi wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa unafanyika leo May 29,2024 katika Mji wa Makambako Mkoa wa Njombe kwa kushuhudia Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akimbwaga mpinzani wake kwa tofauti ya kura mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Katika uchaguzi uliofanyika leo Jumatano kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria wa Neema – Makambambo mkoani…

Read More

Ahadi ‘hewa’ Ujenzi zavuruga wabunge

Dodoma. Wabunge wamecharuka wakilalamikia ahadi zisizotekelezwa za ujenzi wa barabara, mwingine akitoa ushahidi wa hotuba za Wizara ya Ujenzi za miaka mitano.  Mbunge mwingine ametoa ushahidi wa sauti iliyosikika ya Spika Dk Tulia Ackson na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa wakati huo, Profesa Makame Mbarawa, akithibitisha kuhusu ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami…

Read More

Thiago Motta uwezekano wa kusaini Juventus.

Thiago Motta anaweza akamaliza kusaini mkataba wake kama kocha wa Juventus nchini Ureno, kwa sababu anasafiri kwenda huko na Harley Davidson kutoka Bologna. Mtaalamu huyo alisema mara kadhaa baada ya kuthibitisha kwamba hataongeza muda wa kukaa kwenye benchi ya Bologna kwamba huenda akachukua pikipiki yake katika safari kupitia Barcelona kwenda kuwatembelea baba yake na kaka…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI: Mifumo inavyotishia uhai wa Temesa – 4

Dar es Salaam. Changamoto zilizobainika kwenye vivuko vya Magogoni – Kigamboni zinazotokana na kucheleweshewa matengenezo, zimeibua mambo mapya ndani ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa). Haya ni ya mifumo ya uendeshaji inayozingatia zaidi utoaji huduma badala ya kufanya biashara, ambayo inauweka rehani uhai wakala huo. Mifumo hiyo kwa mujibu wa uchunguzi wa takriban…

Read More

Wafungwa wapiga kura Afrika Kusini

Afrika Kusini. Wakati wananchi wa Afrika Kusini wakipiga kura leo Mei 29, 2024, wafungwa katika gereza la Pollsmoor la Cape Town nao wamepiga kura kwa mujibu wa taarifa za serikali. Chini ya Kifungu cha 24B cha Sheria ya Uchaguzi, wafungwa nchini Afrika Kusini wanaruhusiwa kupiga kura katika wilaya wanazoshikiliwa. Gereza la Pollsmoor lina umuhimu wa…

Read More

Ujenzi Daraja la Jangwani wanukia

Dodoma. Serikali imesema katika mwaka wa fedha wa 2024/25 itaanza utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa ujenzi wa Daraja la Jangwani. Ujenzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maendelezo ya Bonde la Mto Msimbazi. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hayo bungeni leo Jumatano Mei 29 2024  alipowasilisha makadirio ya mapato na…

Read More

TGNP YAWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI

Na Mwandishi wetu MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), umetoa mafunzo kwa waandishi wa habari 24 kutoka vyombo vya habari ngazi ya kijamii ambayo yamelenga kuongeza uelewa na uwezo kwa waandishi hao ili waweze kutambua nafasi zao katika jamii. Akifungua mafunzo hayo ya siku tatu yanayofanyika Makao makuu ya TGNP Mtandao jijini Dar es salaam Leo…

Read More

Rais Samia kufanya ziara ya siku 7 Korea Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku saba, Jamhuri ya Korea, kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Yoon Suk Yeol. Ziara hiyo itaanza tarehe 31 Mei hadi 6 Juni 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwa nchini humo, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi Ikulu…

Read More