Admin

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Chadema Kanda ya Nyasa

Njombe. Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini,  Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu ameibuka mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa akimbwaga mpinzani wake Mchungaji Peter Msigwa. Sugu amemshinda Msigwa ambaye alikuwa anatetea nafasi yake kwa kura 54 kwa 52 na sasa kada huyo ataiongoza kanda hiyo kwa miaka mitano…

Read More

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI VISHOKA WANAOSHIKILIA MAENEO YENYE MALIGHAFI ZA UJENZI

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wale wote watakaobainika kujihusisha na mchezo mchafu wa kushikilia maeneo yenye malighafi za ujenzi. Bashungwa ameyasema hayo wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni jijini Dodoma leo, Mei 29, 2024 Amesema changamoto kubwa ni uwepo wa vishoka wanaoshikilia maeneo…

Read More

Chuo cha KAM chaanza kudahili wanaosomea kozi za afya

CHUO cha Afya cha KAM College kilichopo Kimara jijini Dar es salaam ambacho kimebobea kwenye mafunzo ya sekta ya afya, kimepongeza juhudi za serikali katika kuwekeza kwenye miundombinu bora ya sekta ya afya. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Pongezi hizo zimetolewa leo Jumatano na Mkurugenzi wa Chuo hicho, Dk. Kandore Musika wakati akizungumza kuhusu  Baraza la…

Read More

‘Energy drinks’ zaibua mjadala Baraza la Wawakilishi

Unguja. Sakata la madhara yanayosababishwa na vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) limeibukia katika Baraza la Wawakilishi, ikielezwa kuna utafiti unaonyesha kinywaji hicho ni hatari kwa afya ya binadamu. Katika swali la msingi leo Mei 29, 2024, mwakilishi wa Wingwi, Kombo Mwinyi Shehe ametaka kujua ni kwa kiwango gani Serikali inafahamu tatizo hilo akieleza kuna…

Read More

Wenye umri mkubwa yamewakuta Umitashumta

KAMA ulidhani ishu ya udanganyifu wa umri ipo katika ngazi ya juu tu ya soka la Tanzania, basi ulikuwa unajidanganya, unaambiwa zaidi ya wachezaji 10 wamerudishwa nyumbani baada ya kubainika kuwa na umri mkubwa katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Chujio…

Read More

Ziara ya Rais Samia nchini Korea kuleta trilioni 6.5

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January  Makamba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuanza ziara ya siku saba nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 kwa mwaliko rasmi wa kiongozi mkuu wa taifa hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Waziri Makamba ameyasema hayo wakati akizungumza…

Read More

WAPIGAKURA WAPYA 224,355 KUANDIKISHWA KIGOMA

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akizungumza na waandishi wa habari mkoani Kigoma leo tarehe 29 Mei, 2024. Na Mwandushi wetu, KigomaWapiga kura wapya 224,355 wanatarajiwa kuandikishwa mkoani Kigoma wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika mkoani humo kwa siku saba…

Read More