Admin

Ziara ya Samia Korea kuipatia Tanzania Sh5 trilioni

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Serikali itaingia mkataba wa msaada na mkopo nafuu wa Dola za Marekani 2.5 bilioni sawa na Sh5.2 trilioni kutoka Serikali ya Korea Kusini. Waziri Makamba amesema fedha hizo zitaelekezwa katika uboreshaji wa sekta ya elimu, afya na miundombinu, akisema…

Read More

Mgunda: Nilimwambia Bocco awe kocha

SIKU moja baada ya nahodha, John Bocco kuaga mashabiki na wachezaji wenzake wa Simba, kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda amesema yeye ndiye aliyemshauri straika huyo mkongwe awe kocha. Bocco amedumu miaka saba ndani ya kikosi cha Simba baada ya kujiunga na Wekundu wa Msimbazi msimu wa 2017/18 na kutwaa mataji manne ya…

Read More

Wafanyabiashara Kariakoo walia kuzingirwa na majitaka

Dar es Salaam. Wananchi wa Mtaa wa Lindi Kata ya Gerezani Kariakoo wamesema wapo hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kwa kuwa maeneo wanayofanyia biashara zao kuzungukwa na maji machafu yaliyo changanyika na vinyesi. Wananchi hao wanaofanya shughuli zao hizo karibu na stendi zinapoegeshwa daladala za Gerezani -Buza wamesema wanashangaa kuona wanatozwa ushuru lakini usafi hauzingatiwi…

Read More

KAMPUNI 27 KUTOKA UFARANSA ZAWEKA NIA YA KUWEKEZA, KUFANYA BIASHARA NA TANZANIA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV SERIKALI Ya Ufaransa kupitia Ubalozi wake wa Tanzania umedhamiria kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na sekta binafsi katika kufanya biashara na uwekezaji wenye tija na hiyo ni pamoja kutoa mafunzo kwa watanzania watakaofikiwa na miradi mbalimbali. Akizungumza wakati wa hafla maalum ya kuwapokea wafanyabiashara na wawekezaji hao wa…

Read More

Wananchi wa Afrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi mkuu

Wananchi wa Afrika Kusini leo Jumatano wamepiga kura katika uchaguzi mkuu ambao umetajwa kuwa ni muhimu sana kwa nchi hiyo katika kipindi chote cha miaka 30 iliyopita. Chama cha African National Congress kimekuwa madarakani huko Afrika Kusini kwa miongo mitatu sasa. Chama hicho kilifanikiwa kuuangusha utawala wa kikatili wa wazungu walio wachache mwaka wa 1994….

Read More

Macron na Scholz wazungumzia mzozo wa Ukraine – DW – 29.05.2024

Suala kubwa ambalo lilitawala mazungumzo kati ya Scholz na Macron ni vita vinavyoendekea nchini Ukraine. Scholz alisema wanataka kuendelea kuisadia Ukraine kisiasa, kifedha, kijeshi na kwa kuipa misaada ya kibinadamu. Alisema Uhispania tayari imeshaahidi kutoa msaada na kwamba yeye na Macron wamekubaliana ni lazima wachukue hatua inayofuata kuimarisha msaada huu katika ngazi nyingine mpya. Scholz alisema…

Read More

Bei vocha za simu za kukwangua zapanda

Dodoma. Bei ya vocha za simu za kukwangua zimepanda nchini kutoka Sh1,000 hadi Sh1,200 huku Serikali ikiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watoa huduma hawapandishi bei kiholela. Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Mei 29, 2024, Mbunge wa Viti Maalumu, Tunza Malapo amehoji ni nini kauli ya Serikali kuhusu kupanda kwa bei ya vocha…

Read More