Admin

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10…

Read More

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia KAIMU Kocha Mkuu wa Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Juma Mgunda anatarajia kuuwahi mchezo wao wa kwanza wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Indonesia unaotarajiwa kuchezwa Juni mbili mwaka huu. Mgunda ameondoka nchini leo akiongozana na wachezaji watatu kwenda kuungana na timu ya Taifa ambayo ipo…

Read More

Waafrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria leo

Waafrika Kusini leo Jumatano wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria ambao kwa mara ya kwanza umeruhusu wagombea huru tangu mfumo wa ubaguzi wa rangi kumalizika nchini humo mwaka 1994. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wamejiandikisha kupiga kura katika kura inayoangazia kuongezeka kwa mgawanyiko wa kisiasa baada ya miaka 30 ya…

Read More

Hatima ya Sugu, Msigwa Kanda ya Nyasa ni suala la muda tu

Njombe. Wakati uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa ukifanyika leo Mei 29,2024 wajumbe na makada wa chama hicho wamejitokeza kwa wingi kushiriki hatua hiyo. Uchaguzi huo ni kuwapata viongozi wa mabaraza ikiwa ni Baraza la Wanawake (Bawacha), Wazee (Bazecha) na Vijana (Bavicha) na Mwenyekiti,  Makamu na Mweka Hazina….

Read More

WIZARA YA UJENZI YAANIKA VIPAUMBELE NANE

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amebainisha vipaumbele nane vya Wizara ya Ujenzi itakavyotekeleza katika bajeti mwaka 2024/25. Akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka 2024/25, Bashungwa amesema bajeti itazingatia kufanya matengenezo ya miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El Nino na Kimbunga Hidaya. Bashungwa amesema…

Read More

Serikali kushirikiana na sekta binafsi utekelezaji wa miradi.

Wizara ya Ujenzi imeanza utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi kwa utaratibu wa ubia (PPP)katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni jijini Dodoma leo, Mei 29, 2024 Amesema ni katika kuipunguzia Serikali gharama kubwa za utekelezaji wa miradi…

Read More

VIVUKO KIGAMBONI:  Mfupa kwa sekta binafsi kuwekeza-3

Dar es Salaam. Licha ya dhamira ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya vivuko kati ya Kigamboni na Magogoni, huenda mpango huo ukabaki kuwa ndoto isiyotimia kwa miaka kadhaa. Hilo linatokana na mazingira ambayo si rafiki kwa sekta binafsi kutoa huduma katika eneo hilo. Nia ya Serikali kushirikiana na sekta binafsi…

Read More