DK.SAMIA ATAJA MAFANIKIO LUKUKI UTEKELEZAJI ILANI, AAHIDI MAKUBWA ZAIDI IRAMBA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Singida MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga katika mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu ambapo amehutubia maelfu ya wananchi wa Iramba mkoani Singida. Akizungumza leo Septemba 10,2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani Iramba mkoani Singida, Dk. Samia amesema baada ya kutekeleza Ilani…