Admin

LALJI FOUNDATION YAFADHILI KAMBI YA MADAKTARI BINGWA KASULU

Wananchi na wakazi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wamejitokeza kwa wingi katika hospitali ya wilaya ya Kasulu kupata huduma za kibingwa kutoka kwa madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Kigoma Maweni, ambao wamepiga kambi ya siku nne mfululizo. Wakizungumza wananchi hao wameiomba serikali na Taasisi binafsi kuwa na…

Read More

PAZIA LA LIGI KUU LINAVYOFUNGWA

Dar es Salaam. Mechi za mwisho za msimu wa Ligi Kuu Bara zinaendelea kwa sasa,  kwa upande wao Yanga inaongoza mabao 2-1 yakifungwa na Aziz Ki. Aziz Ki amefikisha mabao 20 akimwacha mpinzani wake Fei Toto mwenye 18, mechi zinaendelea Mashujaa inaongoza bao 1-0 dhidi Dodoma Jiji Ihefu inaongoza bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar dakika…

Read More

SOKO KULIINGIZIA JIJI MAPATO BILIONI 3.5 KWA MWAKA

Mmoja wa wahandisi wa kampuni ya United Bulders (katikati),inayojenga soko la Jiji la Mwanza,leo akiwaelekeza wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Mwanza ilipokagua ujenzi wa soko hilo. Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi (wa pili kushoto) akiingoza Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Mwanza,kukagua soko la kimkakati la Jiji la Mwanza,leo. Wajumbe…

Read More

Bei vocha za simu zapanda kinyemela, TCRA CCC waonya

IMEBAINIKA kuwa bei za vocha za kampuni mbalimbali za mitandao ya simu zimepandishwa bei kinyemela katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambayo ni Mbeya, Songwe na Rukwa. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe … (endelea). Katika ufuatiliaji uliofanywa na Mtandao wa MwanaHALISI Online katika maduka mbalimbali kwenye mikoa hiyo, umebaini kuwa bei za vocha za Sh…

Read More