Admin

THRDC yawapa kibarua watetezi wa wafugaji

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewataka watetezi wa haki za Binadamu kwa jamii ya wafugaji kuongeza juhudi katika utekelezaji wa majukumu yao kwa kuwa hivi sasa inakabiliwa na changamoto nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa katika mafunzo ya kuwajengea uwezi watetezi…

Read More

Mzalishaji pombe bandia aishukuru Mahakama kumtia hatiani

Dar es Salaam. Mfanyabiashara aliyekuwa akimiliki kiwanda bubu cha kutengeneza na kusambaza pombe kali bandia, Frank Donatus Mrema na wenzake wawili aliokuwa amewaajiri katika kiwanda hicho, wamehukumiwa adhabu ya kifungo cha maisha jela, huku mmoja akimwaga shukrani kwa Mungu na Mahakama baada ya kutiwa hatiani. Frank na wenzake hao, Faham Salim Ngoda na Issa Juma…

Read More

Simba yakwama kwa kocha Mhispaniola

UONGOZI wa Simba umeshindwa kumshawishi kocha wa makipa wa timu, Mhispania Daniel Cadena kuendelea kubaki baada ya kuandika barua ya kutimka Msimbazi. Cadena ambaye alitaja sababu za kuondoka ndani ya timu hiyo kuwa ni kuhitaji kuwa karibu na familia yake amemalizana na timu hiyo na leo anakamilisha majukumu yake kwenye mchezo wa mwisho wa ligi…

Read More

MZUMBE KUFANYA UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MAONYESHO TANGA

Chuo Kikuu Mzumbe kimewataka wahitimu wa Sekondari na waombaji wengine wanaotaka kujiunga na masomo katika chuo hicho kwa ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada za Umahiri na Shahada za Uzamivu kuchangamkia fursa ya usajili inayotolewa katika Banda la Chuo hicho, kwenye maonesho ya wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari…

Read More

JK KINARA UTAFUTAJI FEDHA ZA KUIMARISHA ELIMU AFRIKA

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024 Annual Meeting) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 26 – 28 Mei, 2024. Ametumia fursa ya kushiriki Mkutano huo kuzungumza na vongozi mbalimbali,…

Read More