Admin

Spika Tulia atoa neno barabara zenye mashimo

Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ametoa agizo kwa mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuhakikisha wanatoa taarifa za barabara zinazohitaji matengenezo haraka ili kuepusha ujenzi upya usio wa lazima. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 27, 2024, wakati akifungua maonyesho ya sekta ya ujenzi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Dk…

Read More

GGML inavyowezesha walemavu Geita – MICHUZI BLOG

KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani (WGC), wanaendesha mradi wa kusaidia…

Read More

Pacome afunguka yaliyomkwamisha Yanga msimu huu

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kilichomuumiza na kumkwamisha msimu huu katika kupambana kufikia malengo aliyojiwekea. Muivory Coast huyo aliyejizolea umaarufu kwa mashabiki wa kikosi hicho ndani ya msimu mmoja aliotumika akitokea ASEC Mimosas, amesema pamoja na mafanikio, lakini alishindwa kucheza mechi muhimu hususan za kimataifa kutokana na majeraha. “Majeraha ni jambo lililonikwamisha…

Read More

FIFA na UEFA zilitumia vibaya nafasi zao – DW – 27.05.2024

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, na Shirikisho la Kandanda barani Ulaya, UEFA “walitumia vibaya nafasi zao kuu” na “kuzuia ushindani” kwa kukataa kuundwa kwa Ligi mpya ya Ulaya “Super League”. Hayo yameelezwa katika uamuzi uliotolewa na mahakama moja ya nchini Uhispania leo Jumatatu. Mahakama hiyo imesema kwamba FIFA na UEFA wameweka “vizuizi visivyo na sababu…

Read More

Kalito atamani kuanzishwe shule ya upishi Tanzania

Dar es Salaam. Safari ya Miaka 20 ya mburudishaji Carlos Bastos Mella ambaye yupo nyuma ya maeneo mengi ya burudani jijini Dar es Salaam, ameshauri kuanzishwa shule za upishi na usimamizi wa hoteli nchini ili kuongeza ufanisi katika tasnia hiyo. Carlos Bastos Mella, anayejulikana kama “Kalito,” ni raia wa Hispania kwake ilikuwa kama bahati ya…

Read More

Mziba arusha jiwe gizani Simba

KITENDO cha Simba kudondosha ubingwa mara tatu mfululizo kimemuibua staa wa zamani wa Yanga, Abeid Mziba kuhoji usajili unaofanywa na viongozi wa klabu hiyo una manufaa au ni wa mazoea. Mziba alikuwa akijibu swali la Mwanaspoti aliloulizwa kwa uzoefu wake anadhani Simba inakwama wapi? na majibu yake yalikuwa hivi: “Siwezi kuwalaumu viongozi wa Simba moja…

Read More