
BENDERA ZA CHADEMA ZIKIPEPEA KWA MADAHA KUFURAHIA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM…
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Njombe KUNA mambo yanaleta raha Kiasi kwamba hata wale ambao hawana nafasi ya kuzungumza basi hutumia mbinu mbalimbali kufikisha ujumbe kwa jamii inayozunguka Leo Septemba 6,2025 wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) ukifanyika katika Jimbo la Makambako mkooni Njombe pamoja na kuwepo na mabango mbalimbali yaliyokuwa…