Admin

Bondia Mkojani apokewa kwa mbwembwe Zanzibar akirudi na medali

KATIBU Mtendaji Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar, Said Kassim Marine, amesema milango ya mchezo wa masumbwi visiwani hapa imefunguka kimataifa, hivyo wanamichezo wanapaswa kuitumia fursa hiyo ipasavyo. Ameyasema hayo jana Oktoba 23, 2025 wakati wa kuwapokea mabondia, Ali Mkojani na Suleiman Mtumwa. Mabondia hao walikwenda Brazil kushindana ambapo Mkojani amerejea na medali ya shaba…

Read More

Mashujaa yapiga mkwara ikiikaribisha Namungo

MASHUJAA imeahidi kufanya vizuri dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, kesho. Mashujaa imepata matokeo yasiyoridhisha katika mechi zake mbili mfululizo zilizopita ambapo katika mechi moja ilifungwa mabao 2 -1 na Pamba ya Mwanza na kisha kuambulia sare ya bila kufungana na TRA United ya…

Read More

Mtoto wa Mjini – 12

NDANI ya ofisi hiyo, afisa aliyefuatana naye ambaye alijitambulisha kwake kwa jina la Aidan alimkabidhi Muddy kila kitu alichokuwa amekikabidhi kwa maafisa uhamiaji waliomkamata. Muddy aliviangalia vitu alivyokabidhiwa, kila kitu kilikuwepo kasoro kitu kimoja tu ambacho hakuwa amekiona.Wakati akiendelea kupekua vitu vyake, Aidan alimtaka Muddy amfuate hadi katika chumba kingine na walipofika katika chumba hicho, afasi…

Read More

Mechi mbili zijazo ni moto kwa Maximo

MZEE wetu Marcio Maximo aliingia kwa matumaini makubwa ndani ya timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) kama kocha mkuu kwa ajili ya msimu huu. Kwa kumbukumbu za hapa kijiweni, huu ni ujio wa tatu kwa Maximo nchini kwani mara ya kwanza alikuja kuinoa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kisha mara ya pili alikuja…

Read More

Mbeya City, JKT Tanzania ni vita ya kileleni Ligi Kuu

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Ijumaa kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam na Mbeya City iliyochapwa na Tanzania Prisons mabao 2-1, itajiuliza dhidi ya JKT Tanzania iliyotoka sare ya bao 1-1 na Namungo. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu baada ya kushuka daraja msimu wa 2022-2023, imecheza…

Read More

Shomari Mbwana: Kutoka beki hadi golikipa

MCHEZO wa mpira wa miguu umekuwa na stori nyingi sana zinazowahusu wachezaji, makocha, mashabiki na hata wamiliki wa timu. Pengine si mara moja umewahi kusikia mchezaji anabadilisha nafasi ya kucheza uwanjani, lakini kila mmoja amekuwa na stori yake ya tofauti. Pale kwenye kikosi cha Mafunzo kinachoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, kuna kipa anaitwa Shomari Mbwana. Amezungumza…

Read More

Job awaita mashabiki kwa Mkapa kesho

BAADA ya Yanga kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Silver Strikers Oktoba 18, 2025, beki na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job amesema hawatakubali unyonge kufungwa tena nyumbani Uwanja wa Benjamin Mkapa, kesho Jumamosi Oktoba 25, 2025. Job amesema mechi hiyo ni ya kurejesha heshima kwa Klabu ya Yanga, kuhakikisha wanapambana ili kuingia hatua…

Read More

Yas yaunga mkono Kilimanjaro Marathon 2026 

Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeonesha tena dhamira yake katika kuendeleza michezo na utalii nchini baada ya kushiriki kwenye uzinduzi rasmi wa maandalizi ya Kilimanjaro International Marathon 2026. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam ukihudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo, wakiwemo waandaaji wa mbio hizo, wadhamini na wanariadha, huku Yas ikithibitisha kuendelea kudhamini mbio…

Read More

Mabedi: Njoo muone, Yanga ipo tayari

KAIMU kocha Mkuu wa Yanga, Patrick Mabedi ambaye ni raia wa Malawi, amesema ushindi dhidi ya Silver Strickers ni muhimu ili kuhakikisha timu inatinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), mwaka huu. Mechi ya ugenini iliyopigwa Oktoba 18 Yanga ilifungwa kwa bao 1-0  dhidi ta Silver timu ilikuwa chini ya Folz kama…

Read More

Kamwe: Mageti kwa Mkapa wazi kwa saa nne pekee

Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Silver, mageti yatafunguliwa saa 4:00 asubuhi na kufungwa saa 8:30 mchana. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema sababu ya kufungua mageti mapema ni kuepuka msongamano wakati wa kuingia kutokana na kuamua kutoa fulsa kwaashabiki wa timu hiyo kuingia bure. “Tumewasiliana…

Read More