Admin

GGML inavyowezesha watu wenye ulemavu Geita

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani…

Read More

Bajeti ya wizara ya elimu yapita, waziri akibanwa

Unguja. Licha ya kuipitisha bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi walitishia kuizuia bajeti hiyo wakimtaka Waziri mwenye dhamana, Lela Muhamed Mussa kuwapa majibu yanayoridhisha kuhusu ubora wa miundombinu ya elimu. Maeneo yaliyoibua hoja yalikuwa ni miundombinu, mitalaa, masilahi ya walimu na elimu ya juu, upatikanaji wa vifaa…

Read More

TANZANIA YASHIKA UKURUGENZI WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA.

Na. Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, WF – Nairobi. Tanzania inatarajia kushika nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji mbadala (Alternative Executive Director) katika Kundi la Magavana wa Afrika Mashariki katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kuanzia mwezi Agosti, 2024. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba ameyasema hayo kwa niaba ya Waziri wa Fedha,…

Read More

Metacha atajwa kutua Ihefu | Mwanaspoti

BAADA ya uwepo wa taarifa za Yanga kutaka kuachana na kipa Metacha Mnata, timu ya Ihefu inahusishwa kuzungumza naye na huenda msimu ujao akawa sehemu ya kikosi chao. Metacha aliwahi kuichezea Singida Big Stars kabla ya kubadilishwa na kuwa Singida Fountain Gate akitokea Yanga, kabla ya kurejea tena Jangwani. Mmoja wa viongozi wa Ihefu, ameiambia…

Read More

Makonda: Nitawapiga spana wazembe mpaka wanyooke

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema hatishiki na kauli zinazotolewa na baadhi watu wanaomkosoa na kuwa atawapiga ‘spana’ (atawasema) wazembe hadi wanyooke. Amesema kauli hizo za wakosoaji zinamsaidia kufanya kazi kwa morali kubwa zaidi. Makonda ametoa kauli hiyo zikiwa zimepita siku nne tangu alipodaiwa kumdhalilisha mhandishi wa kike katika halmashuri ya Longido…

Read More