Admin

Marufuku mikopo kausha damu wilayani Mbogwe

Mkuu wa wilaya ya Mbogwe Bi. Sakina Mohamed amepiga Marufuku Mikopo umiza katika wilaya yake kwa madai imekuwa haiko kisheria kutokana na Akina Mama wengi kulizwa kwa kuongezwa riba zisizokuwa na lengo la Kumnyanyua mwanamke kiuchumi. Akizungumza katika Hafla ya Uzinduzi wa Taasisi ya Mwanamke na Samia wilayani humo Sakina amesema kumekuwepo na Kesi nyingi…

Read More

Traore kuongeza miaka mitano madarakani

Burkina Faso. Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inayoongozwa na Kapteni Ibrahim Traoré, imetangaza kuwa itaongeza muda wa utawala wa kijeshi kwa miaka mingine mitano. Traore ataruhusiwa kugombea katika uchaguzi ujao wa urais, kulingana na shirika la utangazaji linalomilikiwa na Serikali. Alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka 2022, Kapteni Traoré aliahidi kurejesha Serikali ya kiraia kufikia…

Read More

Askofu Shoo: Chagueni viongozi wenye hofu ya Mungu

Mtwara. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuwakataa viongozi wabinafsi hasa wanaowatelekeza wapigakura baada ya kushinda uchaguzi. Akizungumza kwenye ibada ya kitaifa katika kilele cha maadhimisho ya siku ya CCT iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) mjini Mtwara jana Mei 26, 2024, Askofu Shoo amesema kuwa…

Read More

MTINDO BORA WA MAISHA KINGA YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

Na WAF – Geneva, Uswisi Imeelezwa kuwa uzingatiaji mtindo bora wa maisha ikiwemo kufanya mazoezi pamoja na ulaji wa vyakula unaofaa kwa kupunguza matumizi ya chumvi, sukari na mafuta husaidia kupunguza magonjwa Yasiyoambukiza. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 27, 2024 baada ya matembezi maalum yajulikanayo kama ‘Walk the Talk, the…

Read More

Wafanyabiashara toeni ushirikiano wakutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka TRA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano wa kutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo inaendelea kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa wafanyabiashara kwa kuwatembelea katika maeneo yao ya biashara. Amewaomba wafanyabiashara wafunguke kwa TRA ili waweze kusikilizwa na kutatuliwa changamoto zao za…

Read More

Watu saba wafariki dunia mtumbwi ukipinduka Katavi

Katavi. Watu saba wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupasuka kisha kupinduka Halmashauri ya Mlele, Kitongoji cha Lungunya mkoani Katavi. Vifo hivyo vimetokea hii jana Jumapili, Mei 26, 2024 ambapo inaelezwa mtumbwi ulikuwa umebeba watu 14 na magunia 10 ya mpunga hivyo ukashindwa kuhimili uzito huo. Hadi usiku wa jana ni mwili mmoja umepatikana…

Read More