Admin

Wizara nne kuibua mijadala bungeni

Dodoma. Wakati wabunge kesho Jumatatu, Mei 27, 2024 wakihitimisha mjadala mkali wa changamoto ya migogoro ya ardhi, wiki itakuwa na bajeti tatu ikiwamo ya Wizara ya Ujenzi na ya Maliasili na Utalii.  Mjadala ulianza Ijumaa ya Mei 24, 2024 wakati wabunge wakijadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

Read More

Mashindano ya gofu Morogoro kitawaka

WACHEZAJI wa gofu kutoka klabu mbalimbali nchini, wameanza kujinoa kwa ajili ya mashindano, yanayotarajia kufanyika Morogoro Gymkaha, kuanzia Juni 14 hadi 16. Mashindano hayo yapo katika kalenda ya Chama cha Gofu Tanzania (TGU) na hadi sasa wachezaji kutoka klabu Kili Golf (Arusha), TPC Club (Moshi), Arusha Gymkhana, Mufindi(Iringa), Lugalo (Dar es Salaam), Moshi Gymkhana, Dar…

Read More

Wenje ashinda uenyekiti Chadema Kanda ya Victoria, Pambalu asusa

Bukoba. Wakati Chama cha Drmokrasia na Maendeleo (Chadema) kikimtangaza Ezekia Wenje kuwa mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, mshindani wake wa karibu, John Pambalu ametoweka ukumbini wakati uchaguzi ukiendelea, huku akikataa kueleza sababu za hatua hiyo. Uchaguzi huo wa kanda uliofanyika juzi hadi usiku, ulihusisha mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kanda na viongozi mabaraza ya chama…

Read More

UNAMALIZAJE JUMAPILI HUJABETI NA MERIDIANBET?

JUMAPILI ya leo tutashuhudia mitanange kibao ambayo itamalizika kuanzia kule, Hispania, Italia na kwingineko. Huku Meridianbet wao wanakwambia piga pesa sasa huu ndio ndo wakati wako. Tukianza na ligi kuu ya Hispania, LALIGA leo hii mechi za ligi zinakamilika saa 11:15 jioni Celta Vigo atakuwa mwenyeji wa Valencia ambapo nafasi ya kuibuka na ushindi leo…

Read More

Kealey:Mbongo anayeubonda kama Alves Australia

INAWEZEKANA hii ikawa ni mara yako ya kwanza kumsikia beki wa kulia wa Macarthur FC, Kealey Adamson anayecheza soka la kulipwa Australia. Kama ni hivyo basi huyu naye ni Mtanzania anacheza timu hiyo na Charles M’Mombwa ambaye amekuwa akiitwa mara kwa mara kwenye kikosi cha Taifa Stars. Wawili hao ni marafiki na huenda mbeleni wakawa…

Read More

WANAUME WAJITOKEZA KWA WINGI KUPATA MSAADA WA KISHERIA

Na WMJJWM, Njombe Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Dotto Biteko amesema kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wanaume katika kutafuta msaada wa kisheria kuliko wanawake. Ameyasema hayo wakati akizindua Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign), mkoani Njombe Mei 26, 2024. Mhe. Biteko amesema tangu kuanza…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UAPISHO WA RAIS WA COMORO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 26 Mei 2024 amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Sherehe za Uapisho wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro Mhe. Azali Assoumani zilizofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Malouzini uliopo Moroni nchini Comoro. Katika hafla hiyo Makamu…

Read More