Admin

Marekani na Tanzania Zaungana Kupambana na Usugu Wa Vimelea Vya Magonjwa

Serikaliya Marekani kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na Tanzania leozimeungana kuzindua kampeni ya “Holela– HolelaItakukosti” ambayo inaratibiwa na Offisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Kampeni hii inazingatia udhibiti kuhusu usugu wavimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) namagonjwa ya kipaumbele…

Read More

VIDEO: Lishe duni kwa vijana inavyoathiri afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More

Waliomuua mkulima mbele ya mwanaye wahukumiwa kunyongwa

Sumbawanga/Mbeya. Ndugu wawili wa familia moja kutoka ukoo wa Kapufi, Jofrey Dominiko na Elasto Dominiko, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua Charles Mwanazumi katika mgogoro wa kugombea shamba. Mauaji hayo yalifanyika Desemba 10, 2020 katika Kijiji cha Sandula Wilaya ya Sumbawanga huku mwanaye Annek Mwanazumi akishuhudia, wakati alipokuwa shambani na baba yake eneo…

Read More

DC Mpogolo asisitiza usimamizi wa maadili kwa wanafunzi

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka walimu ndani ya wilaya hiyo kusimamia suala la  maadili ya wanafunzi. Amesema walimu wanapaswa kusimamia suala la maadili kuanzia mavazi wanayovaa na tabia za wanafunzi hao, ambapo wapo baadhi yao wanatembea na vitu vyenye nchi kali zikiwamo bisibisi. Kauli hiy inakuja ikiwa ni wiki…

Read More

Dodoma Jiji yaua, Prisons sasa uhakika

MAAFANDE wa Tanzania Prisons imejihakikisha kusalia katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kupata sare ya 2-2 ikiwa ugenini mbele ya Namungo na kutuliza presha za mashabiki ambao mwanzoni mwa msimu waliishi kwa mawazo kutokana na timu kufanya vibaya. Matokeo hayo yameifanya Prisons kufikisha pointi 34 na kusalia nafasi ya tano nyuma ya KMC, hivyo…

Read More

Meridianbet yawafikia wakazi wa Kigamboni

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la mji mwemamaeneo ya Kigamboni kwajili ya kutoa msaada kwenyemoja ya Zahanati ambayo inapatikana maeneo hayo. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri pia walitoa msaada waReflectors zinazopatikana katika eneo hilohilo la Mji mwemakwa Bodaboda wanaopatikana katika maeneo hayo ilikuwasaidia katika shughuli zao za kila siku. Meridianbet…

Read More

Wadau wapendekeza ubunge wa viti maalumu ufutwe

Mwanza. Wadau wa siasa wamependekeza kufutwa kwa nafasi za ubunge wa viti maalumu kwa kile kinachotajwa nafasi hizo zinachangia ukatili, hazileti dhana ya usawa wa kijinsia na kuigharimu Serikali zaidi ya Sh200 bilioni kila baada ya miaka mitano. Pendekezo hilo limetolewa leo Jumamosi, Mei 25, 2024 katika mdahalo wa wazi wenye lengo la kujadili mchakato…

Read More