
RAIS SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AU) akihutubia viongozi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza hilo Ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Mei, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…