Admin

MBUNGE ABOOD ATAKA WANAHABARI KUELEZA YANAYOFANYWA NA DKT.SAMIA

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dokta Abdulaziz Abood amewataka waandishi wa habari mkoani Morogoro Kutumia kalamu zao vizuri kwa kuandika masuala mbalimbali yatakayo leta matokea chanya nchini. Mhe. Mbunge amesema hayo wakati akihojiwa na kituo hiki kuhusu mtazamo wake uhuru wa vyombo vya habari nchini. ambapo amesema wanahabari wananafasi kubwa Kuhamasisha masuala mbalimbali…

Read More

Geita Gold hali tete Ligi Kuu

WACHIMBA Dhahabu wa Geita, Geita Gold, wameendelea kujiweka pabaya katika Ligi Kuu Bara baada ya leo kufumuliwa mabao 2-1 na Singida Fountain Gate kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza na sasa watalazimika kushinda mechi ya Jumanne mbele ya Azam iwapo hawataki kushuka daraja moja kwa moja. Geita ipo nafasi ya pili kutoka mkiani ikiwa na…

Read More

Mbunge Abood awataka wanahabari kueleza yanayofanywa na rais Samia

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dokta Abdulaziz Abood amewataka waandishi wa habari mkoani Morogoro Kutumia kalamu zao vizuri kwa kuandika masuala mbalimbali yatakayo leta matokea chanya nchini.   Mhe. Mbunge amesema hayo wakati akihojiwa na kituo hiki kuhusu mtazamo wake uhuru wa vyombo vya habari nchini. ambapo amesema wanahabari wananafasi kubwa Kuhamasisha masuala…

Read More

Wauguzi na wakunga tisa wasimamisha kutoa huduma

Dodoma. Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limewasimamisha kutoa huduma wauguzi na wakunga tisa huku wengine wanane wakipewa onyo, baada ya kushindwa kudumisha viwango vya taaluma na maadili. Kwa mujibu wa tovuti ya baraza hilo, uamuzi huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa TNMC, Profesa Lilian Mselle, baada ya baraza hilo kukaa na kusikiliza tuhuma…

Read More

Mtibwa Sugar yaaga rasmi Ligi Kuu Bara

MABINGWA wa zamani wa Tanzania msimu wa 1999 na 2000, Mtibwa Sugar imeshuka rasmi jana baada ya kufumuliwa mabao 3-2 na Mashujaa katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Mtibwa iliyoanzishwa mwaka 1988 na kupanda Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) 1996, imeshuka kutokana na kusaliwa na pointi 21 ikiwa na…

Read More

Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili Challenge imezinduliwa kwa mwaka 2024 ikitarajiwa kukusanya Shilingi Bilioni mbili. Ikumbukwe kuwa Kampeni ya Kili Challenge huratibiwa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mine Limited (GGML) kwa kushirikiana…

Read More