Admin

Chopa ya Yanga yaliamsha kwa Mkapa

Wakati mashabiki wa Yanga wakiendelea kufurika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, juu angani kuna burudani ya aina yake inaendelea. Nje ya uwanja, kuna mistari na mashabiki wanaingia uwanjani na wengine wakiwa ndani tayari, lakini ile chopa ya Yanga nayo imekatiza hapa uwanjani na kuibua shangwe. Chopa hiyo imezunguka mara mbili mbili juu ya eneo la…

Read More

DC James: Badala ya kupishana kusikiliza kero, tuzitatue

Iringa.  Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amesema badala ya kufanya ziara za kusikiliza malalamiko, watendaji wa Serikali kwenye wilaya hiyo wana jukumu la kuhakikisha wanatoa huduma zinazomaliza kero hizo. Amesema ukiona wananchi wanajazana uwanjani kutoa kero zao maana yake kuna baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo. Akizungumza kwenye Baraza la Madiwani wa…

Read More

WAAFRIKA KULINDA KILIMO NA AFYA YA UDONGO

NA. MWANDISHI WETU . Leo Mei 25,2024, ikiwa ni siku ya Afrika,tujadili hili la kilimo na usalama wa udongo Afrika, athari zake bila kusahau utatuzi wake. Lugha ya sokoni kati ya wauzaji na wanunuzi katika masoko ya kawaida ya watu wa hali ya chini wanaoishi chini ya dola mbili kwa siku barani Afrika sasa hawaongei…

Read More

‘Aliyemtonya’ Lissu kuhusu rushwa arejea madarakani

Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai ametetea nafasi yake baada ya kuzoa kura 45 dhidi ya kura 34 ambazo mpinzani wake, Emmanuel Chengule amepata. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mungai ameshinda uchaguzi huo uliofanyika jana Ijumaa mjini Iringa katika Kikao cha Baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa kilichoketi na kuwachagua viongozi…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusababisha ajali Moro

Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro Alex Mkama amesema wanamshikilia dereva wa basi la Shabiby namba T341 EEU, Said Malugula mkazi wa Dar es salaam baada ya kusababisha ajali iliyotokea saa 12:20 asubuhi ya leo Mei 25,2024 eneo la Kihonda kwa Chambo. Gari hilo lilikuwa likitokea Morogoro kuelekea mkoani Dodoma.Akizungumza na Mwananchi…

Read More

Mwenyekiti AU akerwa na uporaji chaguzi za Afrika

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika,  Moussa Faki amesema miongoni mwa viashiria vya kuvunjika kwa amani barani Afrika ni nchi wanachama kutozingatia matakwa ya kidemokrasia ya kuwa na chaguzi huru na za haki. Amesema licha ya kuwa na Baraza la Amani na Usalama (PSC), AU haina uwezo wa kuziwekea vikwazo nchi…

Read More

Tutaendelea kupigania malengo ya afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya Tanzania ni kukuza na kuendeleza amani na usalama barani Afrika ili kukuza na kuendeleza maendeleo ya kiuchumi kwa jamii na bara zima la Afrika. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Samia ametoa kauli hiyo leo Jumamosi wakati akifungua maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza…

Read More