Admin

Marekani, Kenya kuimarisha ushirikiano wa biashara, uchumi – DW – 25.05.2024

Rais wa Kenya William Ruto alikuwa Washington kwa ziara ya Kiserikali wakati Ikulu ya Marekani ilipoahidi ushirikiano mpya kuhusu teknolojia, usalama na msamaha wa madeni kwa demokrasia hiyo ya Afrika Mashariki. “Wawekezaji wanapenda kile wanachokiona nchini Kenya,” Ruto alisema, akiwavutia viongozi wa biashara kwenye hafla, na kuahidi kurahisisha ufanyaji biashara. Waziri wa Biashara wa Marekani…

Read More

Ihefu, Dodoma vita ya kanda ya kati

KANDA ya Kati kutakuwa na vita ya kipekee. Ihefu itakuwa nyumbani uwanja wa Liti kuikaribisha Dodoma Jiji. Katika mechi hiyo itakayoanza saa 10:00 jioni itakuwa na vita ya kikanda kwani Ihefu kwa sasa maskani yake yapo Singida jirani na Dodoma iliyo makao makuu ya nchi hivyo kila timu itakuwa ikisaka heshima na ubabe katika soka…

Read More

Sh9 bilioni kujenga kituo jumuishi utoaji haki Pemba

Pemba. Kujengwa kwa kituo jumuishi cha utoaji wa haki za kimahakama Kisiwani Pemba, kutawaondolea usumbufu wananchi kufuata huduma ikiwamo ukataji rufaa.  Mtendaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kai Bashiru Mbarouk amesema hayo leo Mei 24, 2024 katika hafla ya utiaji saini mkataba kati ya Mahakama ya Tanzania na Kampuni ya M/S Deep Construction Ltd…

Read More

Vijana 2,000 kujadili ajenda, nafasi za uchaguzi 2024/25  

Dodoma. Zaidi ya vijana 2,000 kutoka vyama vya siasa, asasi za kiraia na Serikali wanatarajiwa kushiriki mdahalo wa kitaifa wa vijana  kutoa mapendekezo kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Mdahalo huo utajadili masuala kadhaa ikiwemo utekelezaji wa ajenda za kundi hilo, ikiwa ni sehemu ya kuangalia utendaji katika miaka mitatu ya Rais Samia madarakani na mwelekeo…

Read More

Tanzania, Estonia kubadilishana uzoefu matumizi akili bandia (AI)

Serikali ya Tanzania inatarajia kunufaika kupitia ushirikiano na nchi ya Estonia katika masuala ya Tehama na Usalama Mtandao ikiwemo kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya akili bandia (Al), teknolojia ya mifumo kuzungumza, usalama wa mitandao (cybersecurity), namba ya utambulisho ya kidijitali, ubalozi wa data, uhuru wa data, ukuaji wa biashara changa na uchumi wa kidijitali. Kufuatia mazungumzo…

Read More

Mungai ashinda uenyekiti Chadema Iringa

Iringa. Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai ameshinda nafasi hiyo kwa mara nyingine. Mungai ameshinda nafasi hiyo baada ya kuzoa kura 45 dhidi ya kura 34 ambazo mpinzani wake, Emmanuel Chengule amepata. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi huo John Mrema amesema kila mgombea alipata haki ya kujieleza na kuchaguliwa. Katika…

Read More