Admin

Kigogo TFF amaliza utata ishu ya Inonga

SAA chache tangu beki wa kati wa Simba, Henock Inonga kufunguka kwamba mkataba alionao na klabu hiyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu, huku mabosi wa Msimbazi wakimkomalia kwamba bado ni mali yao hadi mwakani, lakini kigogo mmoja wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameamua kumaliza utata wa jambo hilo. Inonga aliyesajiliwa na Simba misimu mitatu…

Read More

Majeruhi mlipuko wa Mtibwa wafariki dunia, vifo vyafikia 13

Morogoro. Idadi ya watu waliofariki dunia baada ya kupasuka bomba la kusafirisha mvuke wa joto kwenye kiwanda cha kuzalisha sukari cha Mtibwa Mvomero mkoani hapa, imeongezeka na kufikia 13. Majeruhi hao waliokuwa wakitibiwa  Hospitali ya Benjamini Mkapa Dodoma baada ya kupatiwa rufaa jana kutoka Hospitali ya Turiani, wamefariki dunia. Akizungumza kwa njia ya simu na…

Read More

RC BATILDA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUTOA USHIRIKIANO KWA TRA WANAPOFANYA ZOEZI LA KUTOA ELIMU YA KODI

Leo tarehe 24.05.2024 Mh. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano wa kutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo inaendelea kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa wafanyabiashara kwa kuwatembelea katika maeneo yao ya biashara. Amewaomba wafanyabiashara wafunguke kwa TRA ili waweze kusikilizwa na…

Read More

Nabi amshauri Aziz Ki, akimtaja Mayele

KOCHA wa zamani Yanga, Nasreddine Nabi amemshauri kinara wa mabao na kiungo mshambuliaji wa mabingwa hao wa Tanzania, StephaneAziz Ki juu ya mipango ya kuondoka klabuni hapo akikumbushia ishu ya Fiston Mayele aliyepo Pyramids ya Misri kwa sasa. Kumekuwapo kwa tetesi kwamba Aziz KI hajasaini mkataba huku akitakiwa na klabu kadhaa zikiwamo mbili za Afrika Kusini,…

Read More

DKT. KIRUSWA ATOA MAAGIZO MATANO

 • Kuongeza ushiriki wa watanzania katika Sekta ya Madini…  NAIBU  Waziri wa Madini, Mheshimiwa Dkt. Steven Kiruswa (Mb.) ametoa maelekezo matano kwa Tume na wadau wa Sekta ya Madini nchini. Akifunga  Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 24, 2024 kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha, Dkt….

Read More

Mgunda: Tupo tayari kwa vita ya KMC

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, kwani tayari ameshaliandaa jeshi alililonalo kushuka Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini hapa ili kuzisaka pointi tatu mbele ya wapinzani wao hao waliotoka nao sare ya 2-2 katika mechi ya kwanza. Mchezo huo utakaopigwa kesho unatazamiwa…

Read More

Waziri Slaa aeleza hatima nyumba za miradi ya NHC

Dodoma. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeliomba Bunge kuwaidhinishia Sh171.37 bilioni huku ikisema ujenzi wa mradi wa Kawe 711 utakamilika mwaka 2026. Waziri Jerry Silaa leo Mei 24, 2024 amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25 na kusema mwaka 2023/2024 Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), lilipanga kukamilisha ujenzi wa…

Read More