Admin

IGP Wambura ataja vigezo Polisi Tanzania kuwa jeshi bora

Mwanza. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camilius Wambura amesema anaamini ipo siku jeshi hilo litakuwa jeshi bora duniani, huku akitaja vigezo vitatu vitakavyolifanya kufikia lengo hilo. Wambura ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 24, 2024, wakati wa hafla ya kuwavisha nishani maofisa, wakaguzi na watendaji 574 wa jeshi hilo mikoa ya Kanda ya…

Read More

Naibu Spika Zungu auliza swali kwa mara ya kwanza

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameshauri Serikali kutumia kipengele cha dharura katika Sheria ya Manunuzi ya Umma, ili kuharakisha mchakato wa barabara zilizoharibiwa na mvua kwenye majiji ikiwemo jiji la Dar es Salaam. Hii ni mara ya kwanza kwa Zungu kuuliza swali akiwa katika kiti chake cha ubunge tangu alipochaguliwa kushika nafasi hiyo….

Read More

Urusi yasema IS ilihusika na shambulizi la Moscow – DW – 24.05.2024

Shambulio ambalo linatajiwa kuwa baya zaidi la kigaidi kuwahi kutokea katika miongo miwili iliyopita. Haya yanajiri huku mapigano yakiripotiwa kuongezeka katika eneo la Kharkiv.  Shirika la habari la Urusi, RIA Navosti limenukuu mkuu wa Idara ya usalama ya Urusi FSB, Alexander Bortnikov, akisema, katika kipindi cha uchunguzi, imebainika kuwa maandalizi, ufadhili, shambulio na kurudi nyuma…

Read More

Umuhimu wa tiba za dharura katika kuokoa maisha

Tanga. “Sitasahau. Nilitumwa shambani kuangua nazi, yalikuwa maamuzi mapesi tu, kwani nilinyanyuka na kubeba kikapu changu na kwenda kukwea mnazi, lakini kabla sijamaliza kuangua nilidondoka chini na kupoteza fahamu,” anasema Elly Kimodoa (23), mkazi wa kata ya Fungo, wilaya ya Muheza. Anasema pengine familia yake isingemtuma kwenda kuangua nazi shambani, ajali hiyo asingekutana nayo na…

Read More

MWENGE WA UHURU WATUA LINDI, KUTEMBELEA MIRADI 53

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack leo, Mei 24, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa  mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 45.9 Makabidhiano ya Mwenge…

Read More

Rais CAF: Bao la Aziz KI dhidi ya Mamelodi lilikuwa halali

Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema bao la kiungo mshambuliaji wa Yanga Stephanie Aziz KI dhidi ya Mamelodi Sundowns lilikuwa halali. Motsepe ameyasema hayo leo akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakati akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya kuwasili Visiwani Zanzibar. Rais huyo amekuja kuhudhuria…

Read More