Admin

Angalizo latolewa matumizi ya dijitali kutatua changamoto za jamii

Dar es Salaam. Wanawake hususani vijana wametakiwa kutumia fursa za ukuaji wa teknolojia na matumizi ya kidijitali kutatua changamoto zinazoikabili jamii. Hilo likifanyika, imeelezwa ushiriki wa wanawake utaongezeka katika masuala ya teknolojia, hivyo kukuza usawa wa kijinsia. Hayo yameelezwa leo Mei 23, 2024 wakati wa mdahalo kuhusu ujuzi wa kidijitali kwa maendeleo ya rasilimali watu…

Read More

BODI YA ERB,CRB NA AQRB ZAAGIZWA KUANDAA MPANGO MAHSUSI KUWAJENGEA UWEZO ILI KUANZISHA KAMPUNI ZA UJENZI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), kushirikiana na Bodi ya Usajili wa Wakandarasi (CRB) pamoja na Bodi ya Usajili wa Wakadiriaji Majenzi na Wabunifu Majengo (AQRB) zimeagizwa kuandaa mpango mahsusi wa kuwajengea uwezo vijana kwa nyenzo na ujuzi ili waanzishe Makampuni ya Ujenzi na Ushauri Elekezi zitakazoshiriki katika ujenzi wa…

Read More

Mafundi sanifu wataka kada hiyo kutambulika kielimu

Dodoma. Mafundi sanifu nchini wameiomba Serikali kuitambua kada hiyo kwenye ngazi ya shahada za uzamili na uzamivu wakieleza wanalazimika kubadilisha fani kwenda kwenye uhandisi ili kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Menye Manga leo Alhamisi Mei 23, 2024 kwenye mkutano mkuu wa sita wa mafundi sanifu nchini…

Read More

Serikali mbili ni sera ya CCM, si mkataba wa Muungano

MUUNGANO kati ya Tanganyika na Zanzibar uliotimiza miaka 60 tangu kuundwa kwake, tarehe 26 Aprili 1964, umekumbana na changamoto nyingi na mafanikio mbalimbali. Anaandika Alfred Gwakisa… (endelea). Sehemu kubwa ya changamoto hizo, zinahusiana na utekelezaji wa sera ya Serikali mbili. Muundo wa Muungano wa serikali mbili ni matokeo ya sera na uamuzi wa chama cha…

Read More

Serikali yaombwa kuhamasisha teknolojia ya kidigiti

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Serikali imeombwa kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali kuhamasisha elimu ya teknolojia ya kidigiti kuanzia ngazi ya chini. Ombi hilo limetolewa na baadhi ya wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wakati wa Kongamano la Wiki ya Ubunifu liloandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalojishughulikia Masuala ya…

Read More

Jiji la Mbeya laagiza meneja, mkandarasi mradi wa Sh21 bilioni kuondolewa

Mbeya.  Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza  Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao na kusababisha miradi kusuasua. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Mei 23, 2024 ofisini kwake, Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo baada ya kufanya…

Read More

MNH-MLOGANZILA KUWA KITUO CHA UMAHIRI KATIKA HUDUMA ZA UPASUAJI REKEBISHI

  Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amesema Muhimbili itaendelea kuwajengea uwezo wataalam wake kwakuwa malengo yaliyopo kwa sasa ni kuifanya Muhimbili Mloganzila kuwa kituo kikubwa cha umahiri katika huduma za upasuaji rekebishi katika Ukanda wa Afrika Mashariki. Prof. Janabi amesema hayo alipokutana na timu ya wataalam wa upasuaji kwa lengo…

Read More