Admin

Ifahamu asili ya hat trick

KATIKA fainali za 22 za Kombe la Dunia zilizofanyika Qatar mwaka juzi, wachezaji wawili Concalo Ramos wa Ureno na  Kyllian Mbape wa Ufaransa ndio walioibuka na kile ambacho kwa kimombo kinaitwa hat trick yaani kufunga mabao matatu katika mchezo mmoja. Hawa wawili wameifanya idadi ya wachezaji kufunga hizo hat trick kufikia 54 katika michezo zaidi…

Read More

Ndege yapata msukosuko angani, abiria 211 wanusurika kifo

Bangkok. Abiria 211 wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata msukosuko angani, ikiwa ni saa 10 tangu iliporuka, huku abiria mmoja akifariki dunia jana Jumanne Mei 21, 2024. Abiria hao waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la Singapore Airlines kutoka London, Uingereza kwenda Singapore, walijawa na hofu kwenye tukio hilo ambapo abiria 30 wamejeruhiwa….

Read More

MAANDALIZI UJENZI WA BARABARA YA MWEMBE – MBAGA HADI MAMBA KM 90.19 KWA LAMI YAANZA

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi, Godfrey Kasekenya amesema Serikali imeanza maandalizi ya kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina katika utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Mwembe-Mbaga iliyoko Same Mkoani Kilimanjaro. Mhe.Kasekenya ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu Swali la Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi Mhe. David Mathayo David aliyetaka kujua ni…

Read More

Makipa watavyoiweka katika wakati mgumu Stars kuelekea AFCON

IMESALIA miezi saba kabla ya kufika mwaka 2025 ambapo Tanzania itashiriki fainali za mataifa ya Afrika mwakani nchini Morocco. Tanzania ni miongoni mwa timu nane zilitakazo cheza michuano hiyo ikiwemo Somalia, Djibouti, Sao Tome, Chad, Mauritius, Sudan Kusini, Liberia na Eswatini. Asilimia kubwa ya wachezaji wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ ina mabeki wengi wenye…

Read More

Asasi yapendekeza Bunge kuidhinisha mikopo ya Serikali

Dodoma. Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD) umeshauri mikopo yote inayokopwa na Serikali kwa shughuli za maendeleo ipitishwe na Bunge badala ya jukumu hilo kuachiwa kamati zinazomshauri Waziri wa Fedha.  Ushauri huo umetolewa leo Jumatano Mei 22, 2024 na Mkurugenzi wa mtandao huo, Hebron Mwakagenda kwenye mkutano mkuu wa mtandao huo ulioandaliwa kwa kushirikiana…

Read More

Simba yafika bei kwa Mzamiru

SIMBA imeshtuka hii ni baada ya kuamua kumuita kiungo mkabaji, Mzamiru Yassin haraka kwa ajili ya makubaliano ya mkataba mpya baada ya baadhi ya timu kuonyesha nia ya kumhitaji. Kiungo huyo ambaye amehudumu kwa muda mrefu ndani ya kikosi cha Simba alikuwa anawindwa na Azam FC sambamba na Ihefu FC, timu ambazo zilikuwa zinataka huduma…

Read More