Admin

Benki ya NMB yatoa msaada wa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi milioni 65 kwa mkoa wa Arusha, yajizatiti kuendeleza sekta ya utalii

.      Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 65 zitakazosaidia kuimarisha ulinzi mkoani Arusha. Mchango huo ambao umetolewa kwa Jeshi la Polisi mkoani humo unaendana na mpango mkakati wa benki hiyo wa kuendeleza sekta ya utalii unaolenga kuimarisha mifumo endelevu ya ikolojia ya utalii….

Read More

TDB yahimiza unywaji maziwa yaliyothibitishwa kuepuka maambukizi ya magonjwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) imewataka Watanzania kuacha kununua maziwa kiholela badala yake wanunue yaliyothibishwa ubora kuepuka maambukizi ya magonjwa kutoka kwa wanyama. Kulingana na bodi hiyo magonjwa yanayoweza kusababishwa kwa kunywa maziwa yasiyo salama ni pamoja na Kifua Kikuu, magonjwa ya kuharisha na Brucella ambao unafanana kwa karibu na…

Read More

Dk Bagonza: Hata viongozi wa dini wanahitaji msaada

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na mjadala kuhusu matukio ya hivi karibuni ya watumishi wa Mungu kujiua, viongozi wa dini wameeleza wao pia ni binadamu wenye changamoto zinazowakabili, hivyo isionekane ajabu wanapohitaji msaada. Viongozi hao wameweka bayana kama ilivyo kwa binadamu wengine hata wao kuna wakati hupata msongo wa mawazo, hivyo ni muhimu kukawa na…

Read More

NSSF YAWAJENGEA UWEZO WASTAAFU, YAWAHIMIZA KUTUMIA MIFUMO YA TEHAMA KUPATA TAARIFA ZAO MBALIMBALI

Na MWANDISHI WETU, Mbeya. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendesha mafunzo kwa wastaafu watarajiwa zaidi ya 200 na kuwaeleza umuhimu wa kufuatilia taarifa zao mbalimbali kupitia mifumo ya TEHAMA ambayo inawawezesha waajiri na wanachama kupata taarifa zao popote walipo bila ya kulazimika kufika katika ofisi za NSSF. NSSF imetengeneza PORTAL ambayo kwa…

Read More

Tigo rekindle connection with over 20 million loyal customers. – MWANAHARAKATI MZALENDO

Copyright(c)reserved,not for resale Copyright(c)reserved,not for resale Dar es Salaam. 22nd May 2024. Tigo, the leading digital lifestyle company in Tanzania, is proud to announce the launch of its campaign named ‘Sako Kwa Bako ’aimed at not only rekindling the relationships with customers but also commemorating a milestone of reaching over 20 million subscribers. ‘Sako Kwa Bako’ simply translates to…

Read More

Viongozi wa dini wavunja ukimya wenzao kujiua

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na mjadala kuhusu matukio ya hivi karibuni ya watumishi wa Mungu kujiua, viongozi wa dini wameeleza wao pia ni binadamu wenye changamoto zinazowakabili, hivyo isionekane ajabu wanapohitaji msaada. Viongozi hao wameweka bayana kama ilivyo kwa binadamu wengine hata wao kuna wakati hupata msongo wa mawazo, hivyo ni muhimu kukawa na…

Read More

WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba amekutana na kuzungumza na Waziri wa Nchi wa Japan anayeshughulikia Mambo ya Nje Mhe. Kiyoto Tsuji katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam. Viongozi hao katika mazungumzo yao wamekubaliana kuendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa karibu kwa manufaa ya nchi…

Read More