Admin

Vikosi ya Ukraine vyapiga hatua dhidi ya adui – DW – 22.05.2024

Katika hotuba yake kwa taifa Jumanne jioni, Zelensky amesema vikosi vya nchi hiyo katika eneo la Kharkiv,vinaendelea kupata ufanisi dhidi ya adui lakini akaonya hali upande wa mashariki karibu na miji ya Pokrovsk, Kramatorsk na Kurakhove imesalia kuwa “ngumu sana”. Zelensky ameongeza kusema mapigano zaidi yanaendelea katika eneo hilo. Soma pia:Zelensky anatarajia Urusi itaimarisha mashambulizi…

Read More

Fainali FA kupigwa New Amaan Stadium, Zanzibar

Mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga dhidi ya Azam FC sasa utapigwa Juni 2, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar badala ya ule wa Tanzanite ulioko Babati, Manyara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa hiyo ambayo uamuzi wa kubadilisha uwanja umefanywa na kamati ya utendaji ya shirikisho…

Read More

Ayatollah Khamenei aongoza wairan kumuaga Raisi

Kiongozi wa Juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, ameongoza mjini Tehran, ibada ya kumswalia na kutoa heshima za mwisho kwa rais Ebrahim Raisi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Ibada hiyo pia imewahusisha waziri wake wa mambo ya nje Hossein Amir-Abdollahian na maafisa wengine wa serikali waliofariki dunia kufuatia ajali ya helikopta Magharibi mwa Iran. Ibada…

Read More

Mbunge ataka maboresho ya matunzo kwa watoto, ajibiwa

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Esther Malleko ameihoji Serikali ni lini itafanya maboresho ya Sheria ya Ndoa ili ikidhi matunzo kwa watoto kwa sababu gharama za maisha zimepanda. Akiuliza swali leo Jumatano, Mei 22, 2024, Malleko amehoji: “Nini kauli ya Serikali kwa wale wanaoshindwa kutekeleza majukumu waliyokubaliana katika vikao vya usuluhishi na kusababisha watoto…

Read More

UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA WARIDHISHA

 Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wamehamia Makao Makuu ya Nchi Jijini Dodoma pamoja na  Taasisi  65 ambapo inaendelea na  mpango kazi wa  ujenzi wa Awamu ya Pili wa majengo ya Ofisi za Wizara na Taasisi unaotarajiwa kukamilika  mwaka 2025. Hayo yalisemwa leo tarehe 21 Mei, 2024 Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri …

Read More