Admin

WAKAZI KISAKI WAACHA UJANGIRI HIFADHI YA NYERERE BAADA YA TANAPA KUTOA UFADHILI WA MASOMO, MIRADI YA MAENDELEO

WAKAZI wa Kijiji cha Kisaki kilichopo mkoani Morogoro wamesema kwasasa wameacha ujangiri baada ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia Hifadhi ya Nyerere kutoa ufadhiri wa masomo ya elimu ya juu na kati kwa vijana zaidi ya12 pamoja na ufadhiri wa fedha mbegu katikka vikundi 15 vilivyopo kwenye Kijiji hicho. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…

Read More

Kuelekea maadhimisho ya wiki ya maziwa kitaifa ‘Kunywa Maziwa Salama kwa Afya Bora na Uchumi Endelevu’

Bodi ya Maziwa Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na wadau mbalimbali wa maziwa kila mwaka imekuwa ikiadhimisha Wiki ya Maziwa Kitaifa ambayo huwa inafanyika kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei hadi mwanzoni mwa mwezi Juni na lengo ni kuwataka wadau mbalimbali nchini kuchangamkia fursa ya kufanya uwekezaji katika sekta ya maziwa kwani…

Read More

Wiki ya AZAKI 2024 yazinduliwa rasmi Dar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society (FCS), Justice Rutenge, amesema katika kutekeleza Dira ya Taifa 2050 wananchi wanapaswa kupaza sauti zao kwa kutoa maoni  yatakayopelekea kupata Dira bora kwa maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla. Rutenge ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi rasmi wa Wiki…

Read More

MRADI JUMUISHI WA KUHIFADHI MISITU NA KUBORESHA MNYORORO WA THAMANI YA MKAA, WAZINDULIWA BAGAMOYO MKOANI PWANI-

MKOA wa Pwani umekuwa sehemu ya kuchagiza mabadiliko hasi ya tabia nchi , pamoja na uharibifu wa mazingira, kutokana na uwepo wa soko kubwa la mkaa unaotumika zaidi Jiji la Dar es Salaam. Hayo aliyaeleza Kaimu Katibu Tawala Mkoani Pwani, upande wa Menejiment,Ukaguzi na Ufuatiliaji, Nsajigwa George alipokuwa akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuzindua…

Read More

TANROADS Lindi yarejesha mawasiliano barabara ya Kilwa masoko-Nangurukuru-Liwale

Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi umefanikiwa kurejesha mawasiliano yaliyokuwa yamekatika kati ya Kilwa Masoko-Nangurukulu wilaya ya Kilwa na wilaya ya Liwale mkoani Lindi. Mawasiliano hayo yamereshwa ndani ya saa 24 kupitia kazi iliyofanyika usiku na mchana hadi kuhakikisha daraja la muda katika mto Zinga ambao unatenganisha kijiji cha Zinga na Miguruwe linatengamaa…

Read More

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji

  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha.  Jukwaa hilo la siku tatu linaloambatana na maonesho  linalotarajiwa kumalizika Mei 24, 2024 linakutanisha wadau wa madini ikiwa  ni pamoja na wamiliki wa leseni…

Read More

IDADI YA WANAOSAJILI MAJINA, NEMBO NA BUNIFU ZAO YAONGEZEKA

Na Gideon Gregory , Dodoma. Ofisa Habari Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Theresia Chilambo amesema kwasasa muitikio wa watu kusajili bidhaa zao umeongezeka tofauti na kipindi cha nyuma kwani imefikia hatua ambayo watu wanasajili majina yao pamoja na alama wanazozibuni ili kuepuka wizi wa bunifu za watu ambao umekuwa ukijitokeza….

Read More

Ujumbe wa Eswatini wafika HESLB kujifunza

Ujumbe wa watu watano kutoka Jamhuri ya Kifalme ya Eswatini umeanza ziara ya mafunzo ya siku tano nchini inayolenga kujifunza kuhusu uchini ya uenyeji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). Katika siku ya kwanza ya ziara hiyo, ujumbe huo  (Jumanne, Mei 21, 2023) umefika katika ofisi za HESLB zilizopo eneo…

Read More