Admin

Vyama vya ushirika 334 vyafilisika Geita

Bukombe. Vyama vya ushirika 334 kati ya 590 vilivyopo mkoani Geita vimefilisika na kushindwa kujiendesha kutokana na kukosa mitaji toshelevu Kufilisika kwa vyama hivyo kumetokana na mabadiliko ya sheria ndogo za huduma ndogo za fedha zinazotaka chama kiwe na mtaji usiopungua Sh10 milioni pamoja na kuwa kwenye mfumo wa ‘move’, jambo lililofanya vyama vingi kukosa…

Read More

Msitumie Dawa Kiholela – Waziri Ummy

Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi ya dawa za antibiotik kiholela jambo ambalo linapeleka usugu wa vimelea vya magonjwa. Waziri ummy ameyasema hayo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa jamii kuhusu kuimarisha huduma za afya ngazi ya msingi kwa ushirikiano wa taasisi ya…

Read More

Zanzibar kuanza kutoa huduma za maktaba kimtandao

Unguja. Ili kukabiliana na uhaba wa vitabu vya kusomea na kujifunzia katika shule za msingi na sekondari, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (Wema), imetenga Sh200 milioni kutengeneza mifumo maalumu ya maktaba mtandao. Mifumo hiyo ijulikanayo E-Library system & Library Management System, itawezesha wanafunzi kupata maudhui mbalimbali kwa njia ya mtandao. Naibu Waziri wa Elimu…

Read More

Sh32.3 bilioni kuimarisha huduma za afya Zanzibar

 Unguja. Wizara ya Afya Zanzibar, imeingia mkataba na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) wa ununuzi wa vifaa kwa ajili kuboresha huduma za afya hususani mama na mtoto kisiwani hapa. Kupitia mkataba huo wa manunuzi wenye thamani ya Dola za Marekani 12.5 milioni (Sh32.3 bilioni), Unicef itasaidia utoaji wa dawa muhimu na…

Read More

EALA waanza uchunguzi dhidi ya Dk Mathuki

Arusha. Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanatarajiwa kukutana hivi karibuni ambapo pamoja na mambo mengine watamthibitisha katibu mkuu mpya wa Jumuiya hiyo Caroline Mwende Mueke. Serikali ya Kenya ilimpendekeza Caroline kuchukua nafasi ya Dk Peter Mathuki kwa miaka miwili iliyobaki, baada ya Dk Mathuki kuteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Russia…

Read More

BARABARA YA MBALIZI-MKWAJUNI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali inaendelea na utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Mbalizi-Mkwajuni kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 92 inayounganisha mikoa ya Mbeya na Songwe. Mhe. Kasekenya ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu alipokua akijibu swali la Mbunge wa Viti maalum…

Read More